Shamba linauzwa Chanika

Shamba linauzwa Chanika

Edwin171

JF-Expert Member
Joined
Aug 10, 2014
Posts
460
Reaction score
578
Shamba linauzwa Chanika Mwanzomgumu Dar lina ukubwa wa ekari nne lipo katika mazingira mazuri na gari inafika mpaka shambani, kila ekari ni tsh 1,300,000 maelewano pia yapo kwa mawasiliano 071461548
 
Mkuu mwanzo mkuu ni kabla ya homboza au mbele?
 
shamba linauzwa chanika mwanzo mgumu dar lina ukubwa wa ekari nne,lipo katika hali nzuri na gari inafika mpaka shambani pia linafaa kwa makazi kila ekari ni tsh 1,300,000 maelewano pia yapo 0714621548
 
shamba linauzwa chanika mwanzomgumu lina ukubwa wa ekari nne kila ekari ni tsh 1,300,000 gari inafika mpaka shambani na shamba linafaa hata kwa makazi na maelewano pia yapo 0714621548
 
shamba linauzwa chanika mwanzomgumu lina ukubwa wa ekari nne kila ekari ni tsh 1,300,000 gari inafika mpaka shambani na shamba linafaa hata kwa makazi na maelewano pia yapo 0714621548

Chanika mwanzo mgumu ni wapi? Naijua mjini? Umbali gani kutoka mjini?
 
Chanika mwanzo mgumu ni wapi? Naijua mjini? Umbali gani kutoka mjini?

ukifika chanika mwisho unapana daladala za mwanzomgumu ni mwendo wa dk arobaini na tano ukitumia daladala
 
shamba linauzwa chanika mwanzomgumu dar lina ukubwa wa ekari nne gari inafika mpaka shambani bei ni tsh 1,300,000 kwa kila ekari maelewano pia yapo 0714621548
 
Hili shamba litakuwa na mgogoro siyo bure, mkuu sema Ukweli tuje kufanya biashara fasta,.


Document zote muhimu za hilo shamba unazo mkononi?
 
shamba linauzwa chanika mwanzomgumu dar lina ukubwa wa ekari nne,bei ya kila ekari ni tsh 1,3000,000.shamba lipo katika hali nzuri na gari inafika mpaka shambani pia shamba linafaa kwa makazi pia. 0713656557 au 0714621548
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom