Nyumba inapangishwa Arusha, Njiro kwa Msola. Nyumba ina vyumba 4, viwili ni master na viwili kawaida, iko kwenye kiwanja cha 40 x 40 na kuna parking ya kutosha, uzio wa seng'enge.
Ina storage...
TANGAZA MARKETING SOLUTIONS:
Kiwanja kinauzwa Ununio kwa Majogo barabarani kabisaa
Ni squire meter elfu 6000, sawa na heka 1·5
Bei ni tshs million 500/=
Kipo eneo zuri sanaaaa...
Contact...
Nauza gari ndogo aina ya Nadia 5mln, gari IPO kwenye good condition ila nimeshindwa kuupload picha take kwa anae hitaji anipm mamba take nitumie kwa whatsap
habari wakuu!..
Mwenye moja kati ya hizo simu hapo juu naomba aniambie ni shiling ngapi?..au mwenye kujua ni wap nitapata kwa bei nafuu dsm naomba pia aniambie..
Nawasilisha!
Habari za kazi,
Nipo Mwanza bado mgeni, nahitaji laptop aina ya HP iwe na
1. Window 8
2. Processor--2.16GHZ(intercelon)
3. Ram-4GB
5. Hard disk-500GB
6. Iwe na warranty software...
Habari wana JF,
Nataka kuuza CD, DVD za tamthiia za Kikorea na Bongo Movie pamoja na Empty DVD.
Hivi vitu vyote nahitaji ktk office yangu vya kuuza kwa watu wa bushi kwangu .
Asanteni
Viwanja Vipo 4, kila kimoja kina ukubwa wa 20M*20M.Viwanja vyote vipo sehemu moja (uwanja umekatwa).
bei ya kiwanja kimoja yaani 20M*20M ni milioni7.
Document: serikali ya mtaa paper
Barabara ipo...
Habari zenu wapendwa,mie ni kijana mwenye ujuzi wa ufundi wa umeme wa majumbani,kwa wale wenye uhitaji wa kuwekewa Wiring ya Umeme au kurekebishiwa wiring zenye hitilafu/shoti kwenye ofisi au...
Kiwanja kinauzwa kipi Majohe kata ya chanika,hekta 0.5,bei mil 20 pia maelewano ya bei yapo.
Kiwanja hiki kimepimwa kipo Majohe Bwera kituoni,urefu miguu 50 upana miguu 22.
Namba ya simu 0712138303
Kuna htc one xv brand new with full full accessories
Bei yake ni 300k
Maelewano yapo
Pia kuna Htc one v used for two weeks
Accessories zipo
Bei yake ni 120k
Maelewano yapo pia
Napatikana...
Nina meza ya vioo-aluminum nilokuwa naitumia dukani kwangu. Ni kubwa (urefu mita 1, upana cm 40 na height mita 1.2). Iko imara na haina tatizo lolote, bei 350,000/=. Niko Kinondoni, Vijana/Studio...
Natanguliza shukrani zangu za dhati kwa wanajamvi. ninasambaza dagaa wasafi waliokaangwa kutoka mwanza kwenda mikoani kama shinyanga, singida, dodoma, morogoro na dar pia.
Dagaa hawa nimewaweka...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.