Habari wakuu,
Nyumba inauzwa ipo Ukonga Mazizini, ina vyumba 3 vya kulala, sebule jiko na choo, bei yake ni Mill 35 negotiable, madirisha na milango yake ipo ambayo bado haijawekwa kwenye...
Habari wadau,
Nauza Isuzu NQR 75 kwa bei nafuu. Ni la kubeba mizigo na limetumika. Tani Sita na Nusu. Limetembea mile 70K, gearbox ya manual,Tairi ni mpya kabisa, Turbo, Linatumia Diesel na bei...
Kichwa cha habari chajieleza.
Nimechoka kutembea kwa miguu mwenye gari tajwa hapo juu iwe katika hali nzuri na namba ianzie B hapo tunafanya biashari.
NB gari ikiwa dar au pwani itakua rahisi...
Habari wana JF,
Nauza Laptop inaitwa packard bell ni original Local disk (c) =48.8 GB, local disk (D)=62.9GB ipo kwenye hali nzuri inafanya kazi, ninauza kwa tsh 250,000/= nakupa na adapter...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.