Nokia Obama inahitajika fasta

Nokia Obama inahitajika fasta

abdulh iddy

Senior Member
Joined
May 28, 2015
Posts
159
Reaction score
6
Kichwa cha habari hapo juu kinajieleza natafuta nokia obama iwe imetumika kidogo au hata kama haijatumika wala isiwe na mikwaruzo sana na iwe haina tatizo lolote.

Mwenye nayo anicheki
 
Kichwa cha habari hapo juu kinajieleza natafuta nokia obama iwe imetumika kidogo au hata kama haijatumika wala isiwe na mikwaruzo sana na iwe haina tatizo lolote.

Mwenye nayo anicheki

Ndo simu gani hyo?
 
Kichwa cha habari hapo juu kinajieleza natafuta nokia obama iwe imetumika kidogo au hata kama haijatumika wala isiwe na mikwaruzo sana na iwe haina tatizo lolote.

Mwenye nayo anicheki

obama zipo za aina mbili je watakaka 1202 au 1280
 
haina tatizo lolote wa haijatumika xana wala isiwa na michubuko xana hyo kumi na tano nitakupa fasta xana kama vp weka no tuchat
 
Back
Top Bottom