Mayai ya Kenge yanapatikana

Mayai ya Kenge yanapatikana

The Evil Genius

JF-Expert Member
Joined
Mar 21, 2014
Posts
6,151
Reaction score
20,076
Nauza mayai ya kenge.

Wale wote wenye matatizo ya nguvu za kiume,mayai ya kenge ndio suluhisho pekee.

Yai moja la kenge linauzwa tsh 20,000 za kitanzania.

Unalichemsha na kula kile kiini chake. Tiba ni mayai matatu tu na tatizo lako la nguvu za kiume litakua historia. Tiba inachukua wiki tatu,yaani yai moja kwa wiki moja.

Kwa anaehitaji nipm.
 
Nauza mayai ya kenge.

Wale wote wenye matatizo ya nguvu za kiume,mayai ya kenge ndio suluhisho pekee.

Yai moja la kenge linauzwa tsh 20,000 za kitanzania.

Unalichemsha na kula kile kiini chake. Tiba ni mayai matatu tu na tatizo lako la nguvu za kiume litakua historia. Tiba inachukua wiki tatu,yaani yai moja kwa wiki moja.

Kwa anaehitaji nipm.

Na mayai ya mjusi ni tiba ya ugonjwa gani vile kiongozi!?
 
Mimi ninayo ya popo ,ukichanganya na ya kenge haiongezi tu nguvu za kiume na umri wa kuishi pia huongezeka
 
Mmmhhh!! Kenge kweli wewe babu yako ndo kakudanganya hivyo?!
 
Yeni leo kuna mtu alinikwaza nikapata jibu.jf nitasahau yote
 
Ndg #The Uknown nitahitaji info zaidi nifanyie uchunguzi kuhusu myai ya kenge kama itaendana na tiba asili ambayo mimi natoe. Ingekuwa vyema uweke namba yako public nje na inbox kama hautojali
 
Ndg #The Uknown nitahitaji info zaidi nifanyie uchunguzi kuhusu myai ya kenge kama itaendana na tiba asili ambayo mimi natoe. Ingekuwa vyema uweke namba yako public nje na inbox kama hautojali
 
Nauza mayai ya kenge.

Wale wote wenye matatizo ya nguvu za kiume,mayai ya kenge ndio suluhisho pekee.

Yai moja la kenge linauzwa tsh 20,000 za kitanzania.

Unalichemsha na kula kile kiini chake. Tiba ni mayai matatu tu na tatizo lako la nguvu za kiume litakua historia. Tiba inachukua wiki tatu,yaani yai moja kwa wiki moja.

Kwa anaehitaji nipm.

mmebakiza kuuza mayai ya fisi tu sasa.
 
Mimi nahitaji mayai ya sisimizi huko kwenu Yanapatikana?
 
Mayai ya Kenge ni cha mtoto, tafuta mayai ya Bundi mweupe changanya na asali kijiko 1 cha chakula kwa kila yai. Hii doze ni ya week 2 kwa maana hiyo unahitaji mayai 14.
 
Mmetoka ya kware sasa y kenge, mwee, mtatumaliza. Ukianza kuuza ya sisimizi nishtue
 
Back
Top Bottom