Nauza gari

Nauza gari

GARETHBALE

Member
Joined
Dec 22, 2013
Posts
76
Reaction score
334
Nawasalim wote,
Nauza gari, ni PRADO T108 BEU,Nahitaji milioni 30 tu, pia mazungumzo yapo. Gari ipo katika hali nzuri na inatembea na haina tatizo lolote.

Nimepata chuo UK, hela niliyonayo haitoshi, nimeamua niuze gari hii ili nipate hela ya kuniwezesha kwenda kusoma UK, chuo kinaanza tar 17/9/2015. Natakiwa kuripoti kabla ya tar 10/9.

Hii gari kwa mda mrefu anaitumia dada yangu, kwa hiyo baada ya kupata nafasi Uk tukakubaliana tuuze hii gari ili nifanikishe kwenda chuo kwa wakati.

Naomba mnisaidie wadau ktk hili, Mungu awabariki sana

Tuwasiliane kwa namba 0759272289 au 0652713522
 
sawa, naendelea kuattach,lkn computer yangu inasumbua inasumbua kidogo, nitafute through Whasap kwa namba 0652713522, nitakupa picha zote
 
kaka, sio kama cwez, naweza sana, lkn computer yangu inasumbua, anyway aliye tayari kutaka kufahamu zaidi tuwacliane whasup 0652713522, nitakutumia picha nyingi tu
 
Back
Top Bottom