Viwanja vinauzwa Bagamoyo

Viwanja vinauzwa Bagamoyo

Zote Tamu

Member
Joined
Mar 1, 2012
Posts
61
Reaction score
20
Kwa mwenye kuhitaji viwanja vya ukubwa tofauti ani PM, eneo vilipo ni kingani karibu na mradi wa malaria hapa bagamoyo mjini. Vipo vya ukubwa tofauti
 
Nicheki kwa namba 0652426326, vina ukubwa tofauti mpaka square 1000
 
Vp Maji Na Umeme Upo Umbali Gani?? Bei Pia Ni Muhimu Kujua, Hati Je??
 
Hati nitakuunganisha na jamaa wa ardhi bagamoyo, ukweli umeme na maji sio mbali sana kwani ni eneo jipya lakini ni mjini kabisa
 
Kuweni makini huko,bado kidogo mwaka jana nipigwe eneo huko,nawashaur ukienda kuchek eneo ingia gharama kidogo ya mtaalam wa GPS uende nae akakuchekie eneo kama lipo salama
 
Kuweni makini huko,bado kidogo mwaka jana nipigwe eneo huko,nawashaur ukienda kuchek eneo ingia gharama kidogo ya mtaalam wa GPS uende nae akakuchekie eneo kama lipo salama

Na kwanini ununue eneo ambalo halina hati na usihakikishe kwa jamaa wa ardhi? Ndio nyie mnapimiwa miguu mnaridhika, lazima mpigwe tu hakuna namna, kwanza nakuonyesha TP iliyo thibitishwa na wizara kama eneo halina tatizo, nakupa kila kit unachotaka
 
Kuweni makini huko,bado kidogo mwaka jana nipigwe eneo huko,nawashaur ukienda kuchek eneo ingia gharama kidogo ya mtaalam wa GPS uende nae akakuchekie eneo kama lipo salama

Mkuu ni kweli kabisa, ni vizuri kujiridhisha kabla ya kununua eneo.
 
Na kwanini ununue eneo ambalo halina hati na usihakikishe kwa jamaa wa ardhi? Ndio nyie mnapimiwa miguu mnaridhika, lazima mpigwe tu hakuna namna, kwanza nakuonyesha TP iliyo thibitishwa na wizara kama eneo halina tatizo, nakupa kila kit unachotaka

Toa bei kwa sq meter,,,
 
Kwa mwenye kuhitaji viwanja vya ukubwa tofauti ani PM, eneo vilipo ni kingani karibu na mradi wa malaria hapa bagamoyo mjini. Vipo vya ukubwa tofauti

mdau mimi nauza changu Pale kilomo, karibu na kiromo Primary school. Heka moja na nusu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom