Namuhitaji Fundi wa Subaru kwa hapa Dar

Namuhitaji Fundi wa Subaru kwa hapa Dar

arnolds

Senior Member
Joined
Oct 10, 2009
Posts
105
Reaction score
57
Habari wadau,
ebana natafuta fundi wa subaru hapa dar, kuna spares natafuta. kwa yoyote anayeweza kunisaidia nitashukuru sana.

asante
 
Wako Arusha leo na kesho kuna rally uku ungekuja lzm tu ungepata
 
Habari wadau,
ebana natafuta fundi wa subaru hapa dar, kuna spares natafuta. kwa yoyote anayeweza kunisaidia nitashukuru sana.

asante
Nenda biafra kuna njia ambayo inatokea Ada estate hadi best bite..katikati hapo kuna garage maalum ya subaru tu mafundi wakati wapo...kama vp badaye ntaku pm namba ya jamaa hapo
 
Nenda biafra kuna njia ambayo inatokea Ada estate hadi best bite..katikati hapo kuna garage maalum ya subaru tu mafundi wakati wapo...kama vp badaye ntaku pm namba ya jamaa hapo

ntashukuru sana mkuu nikipata hizo contacts...
 
Back
Top Bottom