Kiwanja kinahitajika Kivule au Kitunda

Kiwanja kinahitajika Kivule au Kitunda

Masai Mara

Senior Member
Joined
Dec 25, 2014
Posts
134
Reaction score
54
Habari zenu wana jukwaa,

Kinahitajika kiwanja kizuri kilicho karibu na huduma za maji na umeme maeneo ya kitunda au kivule.Kisizidi milioni 5.Maelewano zaidi yapo kutegemea na mazingira


Msada wenu unahitajika
 
Hakuna Kiwanja cha Kiasi hicho Sh.5m. Labda ukikipata Maeneo hayo Hata Paka akilala Mkia Utabaki Nje.
 
Habari zenu wana jukwaa,

Kinahitajika kiwanja kizuri kilicho karibu na huduma za maji na umeme maeneo ya kitunda au kivule.Kisizidi milioni 5.Maelewano zaidi yapo kutegemea na mazingira




Msada wenu unahitajika

Viwanja vyenye hati vipo KIvule ila sio bei hiyo!!!! Kama uko makini piga namba hii 0713 602051 viwanja vina uzio wa tofali na maji na umeme karibu sana
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom