Ulongupanjala
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 8,521
- 13,997
Habari zenu wakuu?
Nina rafiki yangu yupo UAE(Dubai) atafika nchini hapa Arusha 10/08/2015.
Kuna simu nimemuomba aniangalizie bei
Samsung note 3 =$550
Sony Experia X utra =$300
Sony Experia Z2=$400
Samsung Galaxy5=$320
Naomba kujua kama hizo bei ni fair kwa hizo simu ukilinganisha na bei za hapa Tz? na pia simu ipi kati ya hizo ni imara na latest model.
Pia unakaribishwa kuagiza simu kama upo interesting,utaongeza pesa kidogo ya hiyo device yako.
Asante sana.
Nina rafiki yangu yupo UAE(Dubai) atafika nchini hapa Arusha 10/08/2015.
Kuna simu nimemuomba aniangalizie bei
Samsung note 3 =$550
Sony Experia X utra =$300
Sony Experia Z2=$400
Samsung Galaxy5=$320
Naomba kujua kama hizo bei ni fair kwa hizo simu ukilinganisha na bei za hapa Tz? na pia simu ipi kati ya hizo ni imara na latest model.
Pia unakaribishwa kuagiza simu kama upo interesting,utaongeza pesa kidogo ya hiyo device yako.
Asante sana.