Wasalaam,
eneo linauzwa milioni 28 hapa salasala km 2.5 kutoka bagamoyo road.
kuna msingi wa nyumba imenyanyuka kukaribia kwenye rinta
Bei tunaweza kuelewana.
Nicheki kupitia 0652068060
Kiwanja ukubwa 20*19 million 6
Kipo karibu na shule ya msingi tegeta A
Barabara na umeme vipo mpaka kwenye kiwanja mazungumzo zaidi yapo
Call 0717 751 644
Kwa mahitaji yako yote ya sanaa ya kiteknolojia(digital art work), tunamaanisha kuanzia
1. logo 2. labels 3. brochures 4. business cards 5. letter heads
6. latest and best website designs...
Nakupa Vega no 6 na sh 100000 taalim nahtaj kati ya simu tajwa hapo juu waweza ni pm
Pantech Vega no 6 specs
Ram 2GB.
1.5gh processor
32GB internal Memory
v-touch
wifi,nfc,blietooth,
android 4.4...
Habari zenu!
Nina supply maziwa fresh na mtindi. Unaletewa mpaka nyumbani ukiwa Dar kuanzia lita tano. Na ukiwa mwenge hata Chini ya lita tano Unaletewa.
Maziwa fresh lita moja 2000/= na lita...
Nauza imac 27" had tb1 ram gb8 5icore display 5k retina, Ina crack kwa Mbali imejigonga ipo kwenye box mpya 0687 387545 au 0715 387545 sms upigiwe Andrea imac kwenye sms. Bei m3.3
-Helps removes make-up,dirt and impurities with pore tightening witch hazel
-Tea free facial wash has been developed to cleanse your face and remove any impurities,leaving your face feeling...
Habari wadau,
Natafuta spare za honda acty van ya mwaka 2004, spare ninayohitaji ni clutch plate na bearing ya kwenye top shaft.
Mwenye info where to get anijuze pliz
Startimes wametoa application yao inayoitwa tenbre play kwa watumiaji wa smartphone za android .Application hii inakuwezesha Kufanya mabo yafuatayo
1.Kufanya malipo online
2.Kubadirisha...
Imeshafanya kazi muda mrefu ivyo ina wteja tayari. Ni ya standard ya kawaida. mwenyewe alikuwa mwanachuo amemaliza anataka kurudi kwao mkoani.
For serious business just PM
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.