Kampuni ya Clearing inauzwa!

Kampuni ya Clearing inauzwa!

bitete

Senior Member
Joined
Jan 17, 2013
Posts
104
Reaction score
17
Kampuni ya clearing inauzwa...incorporated in 2009. in good standing na ni profitable...
 
Ahsante Mh Mwakyembe kwa kazi yako nzuri,tumeanza kuona matunda
 
1. Ofisi iko Mkoa gan? wapi?
2. Kwanini inauzwa kama ni profitable? wenyewe hawataki pesa?
3. let me know total registered assests
 
Duuu mi natafuta kampuni ya kununua ila maneno yenu wakuu yamenitoa nduki
 
On the contrary, the owners wana projects zingine na imekuwa vigumu to manage as you know managing a clearing company ni time consuming....nothing to do with Mwakyembe and actually tuna m support sana...
 
On the contrary, the owners wana projects zingine na imekuwa vigumu to manage as you know managing a clearing company ni time consuming....nothing to do with Mwakyembe and actually tuna m support sana...
Join Date : 17th January 2013

Posts : 2
Rep Power : 0
Likes Received0
Likes Given0


vipi mkuu, kwa hiyo umejiunga jamvini ili kutafuta mteja?
eh, umeshauza au bado?? Nipm uniambie bei
 
Duuu mi natafuta kampuni ya kununua ila maneno yenu wakuu yamenitoa nduki

nakushauri ufungue yako, mimi nitakusaidia usajili wa brela pamoja na kuandaa MoU and AoA
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom