Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Tanzania Media Company huduma tutoazo:- 1.utengenezaji wa video za muziki na filamu binafsi. 2.usambazaji. 3.ushauri kuhusu filamu na n.k 4.kuchukua video katika matukio mbalimbali kama...
0 Reactions
0 Replies
876 Views
Kwa yeyote anaehitaji aina yeyote ya gari, mpya kabisa kutoka Japan, tuwacliane kwa namba 0652713522, utapata gari kwa bei nafuu kabisa, WhatsApp 0652713522
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Natafuta fundi cherehani, nipo Kinondoni B..
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Nauza harrier mwaka 1999 engine 4cylinder ina auto na manual pia, km 134, bei 14m aliyetayar just pm
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Zinapakana na Kaole Secondary na zipo mita 200 toka baharini; zina ukubwa wa sqm. 825 na bei ni Tshs 7.5 milion kila moja (unapima mwenyewe). tuwasiliane kwa PM au email: plotkinyerezi @yahoo.com.
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Model 2002 kms 67,000 number "dcj" 2.5 l vibali vyote vipo sawa milion 10.5 fixed price
1 Reactions
21 Replies
3K Views
Nina kiwanja Mlandizi kutoka stand Boda Boda buku tu 20*20 bei 3,000,000 top top
0 Reactions
0 Replies
985 Views
Habari wana jf kiwanja chenye msingi wa nyumba kina matofali 2000 na kokoto pia kiwanja kinaukubwa wa miguu 40 kwa 30 kipo kwa sanya njia ya kwenda goba bei ni mil 40 maongezi yapo 0714787795 kwa...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Wadau habari zenu? Natafuta mbwa mdogo mwenye umri kati ya miezi 3-4 atakayeweza kunifaa kwa ajili ya ulinzi nyumbani.
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Viwanja Toangoma - Kigamboni 1. Mita za mraba (meter square) = 675, urefu mita 27, upana mita 25 Bei milioni 6, viwanja vya squatter ila vipo katika mpangilio na gari inafika mpaka kwenye...
0 Reactions
1 Replies
5K Views
Kwa wale wapenzi wa smartphone usikubali kupitwa. Tigo Express yourself!!
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Kiwanja kina Urefu wa Futi 50 na Upana wa Futi 40 kipo nyuma ya Uwanja wa Mpira wa Azam Complex, bei yake ni Tsh Million 2. Mbele ya Kiwanja ni barabara ya Mtaa hvyo gari inafka had hapo, Umeme na...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Helow my fellow foluwer, Nin laptop y acer naipiga bei ina hard disk 320, ram 2 gb, procesor 1.8 ghz. kuhusu bei n 300000 tsh. Hellow hii si ya kukosa kwa ambae unahitaji nichek 0755695496
0 Reactions
0 Replies
788 Views
Habari, Natafuta vitabu vya Masifu, sijajua nitavipata wapi kwa anayefahamu kuhusu wapi naweza vipata. Ani-PM
0 Reactions
0 Replies
979 Views
sqm700 kila kiwanja,pia unaweza kununua kwa kuunganisha viwanja viwili,barabara zipo hadi kwenye viwanja,umeme upo jirani,kufika kwenye viwanja unaingilia Mbezi ya Kimara barabara ya Msumi,Pia...
0 Reactions
1 Replies
3K Views
sqm625 kila kiwanja,viwanja vyote vinapakana ni ruhusa kununua zaidi ya kimoja,Mbezi Msakuzi,barabara zipo,umeme upo jirani,eneo ni zuri,bei ni 6mil/milioni6 fixed.
0 Reactions
1 Replies
1K Views
- Camera 5mp, LED flash - 1.2GHz QC8655 processor- 768MB RAM - 8GB internal memory - BlackBerry OS v7 - DivX and XviD video support - NFC - Battery siku moja na nusu - Ina support 4G network...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
MAFUNZO YA MSINGI YA KILIMO BORA CHA ZAO LA UFUTA 2015, Taasisi ya AMSHA – www.amsha.org, Imeandaa mafunzo ya msingi ya kilimo bora cha ufuta, terehe 05/09/2015. LENGO Kuwapatia wakulima kanuni...
0 Reactions
1 Replies
6K Views
Hello guys,my app is now avilable on Google play https://play.google.com/store/apps/details?id=com.infinitysolutionstz.tourism I will be so glad to hear any comments from you guys.thanks
6 Reactions
14 Replies
2K Views
Jamani nahitaji friji la kioo kwa mwenyenalo tafadhali picha muhimu
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…