Viwanja vizuri vinauzwa Dar es salaam

Viwanja vizuri vinauzwa Dar es salaam

mkombozi1990

Member
Joined
Aug 1, 2015
Posts
12
Reaction score
0
Viwanja Toangoma - Kigamboni

1. Mita za mraba (meter square) = 675, urefu mita 27, upana mita 25
Bei milioni 6, viwanja vya squatter ila vipo katika mpangilio na gari inafika mpaka kwenye viwanja husika. Viwanja vipo vinne

2.
Mita za mraba (meter square) = 900, urefu 45, upana 20
Bei milioni 8, kiwanja cha squatter, ila kipo katika mpangilio na gari inafika mpaka kwenye kiwanja husika. Kiwanja kipo kimoja

3.
Mita za mraba (meter square) = 800, urefu mita 40, upana mita 20
Bei milioni 7, kiwanja cha squatter ila vipo katika mpangilio na gari inafika mpaka kwenye kiwanja husika. Kiwanja kipo kimoja

4.
Mita za mraba (meter square) = 710
Bei milioni 8, kiwanja cha squatter ila kipo katika mpangilio na gari inafika kwenye kiwanja husika. Kiwanja kipo kimoja

5.
Mita za mraba (meter square) = 750
bei milioni 8, kiwanja cha squatter ila kipo katika mpangilio na gari inafika kwenye kiwanja husika. Viwanja vipo viwili

6.
Mita za mraba (meter square) = 765
Bei milioni 6, kiwanja ni cha squatter ila kipo katika mpangilio na gari inafika

7.
Mita za mraba (meter square) = 510
Bei milioni 5, kiwanja ni cha squatter ila kipo katika mpangilio na gari inafika

8.
Mita 20 kwa 20 = 400 square meter, bei milioni 4,5 kwa kiwanja, viwanja vipo 12, gari inafika mpaka kwenye kiwanja husika.

9.
Eka 7, kila eka milioni 30, kilomita 1,5 kutoka barabara kuu ya toangoma.

Kibada kuelekea Daressalaam Zoo
1. eka 3, kilomita 2,5 kutoka barabara ya lami, bei 17 milioni kwa eka moja
2. eka 1, kilomita 2,5 kutoka barabara ya lami, bei milioni 17

Kwa mawasiliano Zaidi unaweza niandikia au unaweza kunipigia kwa namba hii 0654229460 au whatsapp 0755040485. PICHA ZA MAENEO HUSIKA ZITATUMWA WHATSAPP
 
Viwanja Jijini Dar-es-salaam vya serikali
Toangoma- kigamboni
1. Block 2, 1339 square meter, bei milioni 50, ila maelewano yapo – kina hati miliki
2. Block 1, 700 square meter, bei milioni 40, ila maelewano yapo-kina hati miliki
3. Block 1, 1900 square meter, bei milioni 80,ila maelewano yapo, kina hati miliki
4. Block 15, 800 square meter,bei milioni 30, ila maelewano yapo, kina hati miliki
5. Block 10, 760 square meter,bei milioni 25, ila maelewano yapo, kina hati miliki

  1. Block 10, 600 square meter, milioni 15, ila maelewano yapo, kina hati miliki

Chanika mbuyuni
1. 800 square meter, bei milioni 13, ila maelewano yapo, vipo vingi na vina hati miliki
2. 1000 square meter, bei milioni 20, ila maelewano yapo, vipo vingi na vina hati miliki
3. 1200 square meter, bei milioni 29, ila maelewano yapo, vipo vingi na vina hati miliki

Geza Ulole – Kigamboni
1. Block 23, plot 266, 989 square meter, bei milioni 22 ila maelewano yapo – kina hati miliki
2. 2900 square meter, milioni 80 ila maelewano yapo - kina hati miliki

Kibada
1. Square meter 1293, bei milioni 47, ila maelewano yapo
2. Square meter 1006, bei milioni 36, ila maelewano yapo
3. Pia vipo vingine vya bei kati ya milioni 25-35

viwanja vyote vipo kilomita 1,5 kutoka barabara kuu ya lami. Kwa mawasiliano Zaidi tuandikie au tupigie 0654229460 au whatsapp 0755040485
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom