Kiwanja kina Urefu wa Futi 50 na Upana wa Futi 40 kipo nyuma ya Uwanja wa Mpira wa Azam Complex, bei yake ni Tsh Million 2. Mbele ya Kiwanja ni barabara ya Mtaa hvyo gari inafka had hapo, Umeme na Maji vipo jiran.
Ambapo ni sawa na 15m x 12m.Kwa bei hiyo sio mbaya maana lazima ujenge banda hapo la vyumba viwili na geti.Maana Nyumba kamili ni issue.
Hembu weka picha,Halafu tuambie kama kina hati,maana najua maeneo yale mengi viwanja utata utata,hasa kwenye njia za wazi ambazo wamiliku hurejea tena kuchakachua na kuuza,mwisho wa siku kazi inakuwa pevu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.