Nauza gari aina ya Vitz

Nauza gari aina ya Vitz

mickyMICKIZ

Member
Joined
Aug 19, 2013
Posts
39
Reaction score
3
Bado ipo katika hali nzuri kama inavyoonekana iko na Km 120,000
Kwa maelezo mengine Pm nikujuze..
Gari iko Dar.
 

Attachments

  • 1438149556369.jpg
    1438149556369.jpg
    64.7 KB · Views: 532
  • 1438149579322.jpg
    1438149579322.jpg
    54.8 KB · Views: 452
  • 1438149601238.jpg
    1438149601238.jpg
    63.2 KB · Views: 451
Hii inawafaa wale jamaa waliofukuzwa Chadema
 
Sema bei gani mkuu tuone kama tunaweza kuwa na mazungumzo zaidi au la!?

Funguka bei yake sir!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom