Kiwanja kinauzwa Kibaha (Kwa Mathias), Bei 20M

Kiwanja kinauzwa Kibaha (Kwa Mathias), Bei 20M

kimweri Jr

Senior Member
Joined
Jun 9, 2012
Posts
131
Reaction score
42
Ni kiwanja cha ukubwa wa 25 x 20, kina nyumba (sio ya kisasa) ya tofali za block na choo cha nje. Haina uzio. Ipo mtaa wa kwamathias, mita 400 kutoka kwa mzee mathias barabara ya zamani.

Hakuna dalali, haina hati, taratibu zote zitafuatwa kabla ya malipo!

Mwasiliano 0752 252 658
 
Ni kiwanja cha ukubwa wa 25 x 20, kina nyumba (sio ya kisasa) ya tofali za block na choo cha nje. Haina uzio. Ipo mtaa wa kwamathias, mita 400 kutoka kwa mzee mathias barabara ya zamani.

Hakuna dalali, haina hati, taratibu zote zitafuatwa kabla ya malipo...!

Mwasiliano 0752 252 658
weka picha
 
Nauza kiwanja 30 X 35 kipo Kibaha kwa Mathias. Umbali ni kama mita 100 kutoka barabara ya zamani karibu na NEW ROMBO PUB.Bei ni tsh 15m. Miundo mbinu ya maji,barabara na umeme ipo.Hakina dalali. Kama unahitaji unaweza kuni pm.
 
Nauza kiwanja 30 X 35 kipo Kibaha kwa Mathias. Umbali ni kama mita 100 kutoka barabara ya zamani karibu na NEW ROMBO PUB.Bei ni tsh 15m. Miundo mbinu ya maji,barabara na umeme ipo.Hakina dalali. Kama unahitaji unaweza kuni pm.
Acha ushetani huo luciferi mkubwa. What do you mean by this? Anzisha uzi wako kuliko kumwaribia mwenzako. Sijui kwa nini mnatawaliwa na roho ya shetani, ibilisi!
 
Acha ushetani huo luciferi mkubwa. What do you mean by this? Anzisha uzi wako kuliko kumwaribia mwenzako. Sijui kwa nini mnatawaliwa na roho ya shetani, ibilisi!

Ngoja sheria ya uharifu wa mtandaoni ianze kutumika mtanyooka tu...
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom