Kiwanja kinauzwa Kibaha kwa Mathias bei 25m

Kiwanja kinauzwa Kibaha kwa Mathias bei 25m

The Red Pen

JF-Expert Member
Joined
Sep 26, 2014
Posts
517
Reaction score
206
Kiwanja kinauzwa Kibaha kwa Mathias. Kina ukubwa wa mita 30 x 35. Kipo umbali wa Mita 100 kutoka barabara ya zamani karibu na NEW ROMBO PUB. Miundo mbinu ya maji, barabara na umeme ipo. Bei ni tsh 15 m.Hakina dalali.

Mwenye kuhitaji ani pm.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom