Nina laki nne tu, naweza kupata lap top nzuri mpya kwa kiasi hicho? Je, ni aina gani ya lap top ambayo haina usumbufu unanishauri niitafute? Naomba ushauri wako.
nyumba ipo mbagala kwa mmwera, ni kilomita 1 kutoka st. Anthony's secondary school ina vyumba 4, sitting room na dining, parking, na eneo la kutosha kujenga vyumba vya uani. Inahitaji matengenezo...
Je unamtaji lakini hujui ufanye biashara gani, na ujui pakuanzia? je unabiashara lakini hailudishi faida mpaka inapelekea unaona kama chuma ulete wanachuma mali zako? je umemaliza chuo na ujapata...
Mbezi Luguruni situated along Morogoro road.Well organized place in Dar es salaam.Residential plots measured 1120square meter each and surveyed and have voucher for payments.That means Title...
Habari wanajamii,
Nlikua naomba msaada wenu kujua ni sehemu gani naweza kupata suti either black or dark blue kwa bei nzuri,pia nahitaji msaada wa kujua ni wapi naweza pata mashati ya kuvalia...
Kina ukubwa wa Upana mita 20 na urefu mita 40. Kipo sehemu nzuri barabara imefika mpaka kwenye kiwanja na umeme ushafika. Kinauzwa million 14.
Serious buyer only dalali haitajika.
0782578576
Wakuu nauza pikipiki yangu, bei tajwa hapo juu, ni nzima na ipo barabarani, inaleta hesabu kila siku. Sababu ya kuuza ni kwamba nimeamishwa eneo lakazi, so nitashindwa kuendesha biashara hii, ina...
Habari Wakuu,
Kwa yeyote anayehitaji mirunda, mbao, marine boards, n.k. vinapatikana. Vifaa vimetumika mara moja na viko katika hali nzuri,. Vifaa viko Kimara, Dar Es Salaam.
Mchanganuo:
Marine...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.