Wakuu Salama?
Naomba msaada wa contacts (email/s + Mobile number), ya mhusika yeyote wa benki hii makao makuu (nadhani ni Dar). Ninashida SANA nao.
Ahsanteni
nina tecno h6 nataka kubadilishana na samsung s3 nimpe na ela kidgo ila tecno yng ina crek ktk kioo au km kuna m2 ana samsung yoyote sawa wahatsup pic 0713844841
Nauza dell desktop aina ya optiplex 380
Ina sifa hizi;
Hard disk 250 GB
Memory 2 gb
DVD combo
Processor 3.0 Ghz dual core
Pia ina sreen ya hp lcd inchi 15
Windows 7 Installed.
Bei...
Ukubwa kuanzia Mita 20x20 bei kuanzia 4.5milion bei inaongezeka Kulingana na ukubwa. Huduma kama maji, umeme na barabara nzuri zipo.
Kwa taarifa zaidi piga 0713154547
JE, wewe ni mjasiliamali? Kampuni? Shule ? Chuo? Nk, Na ungependa huduma yako au bidhaa zako ziwafikie watu wa mbeya na maeneo ya jirani?! Basi Kampuni yetu yenye ofisi zake hapa jijini Mbeya...
Habari zenu ndugu.
Kwa mwenye kufahamu, hasa wauzaji wa vifaa kwa ajili ya wiring ya nyumba za makazi.
Vifaa hivi vifuatavyo bei yake inasimamaje?
i) Main switch "Havels" 12 ways
ii)...
Wakuu kuna Blogu ukiziangalia na Content yake haviendani ,content nzuri but poor Design.
Sasa naweza kukusaidia kupata design nzuri kwa Buku kumi na Tano tu. 15000/=.
Hata kama huna Blogu...
Habari wanajamii.
Nina shida, nataka kuhama nimemaliza mjengo wangu, nilikuwa nakaa kwenye nyumba nzuri sana ya kupanga hapa Pugu Dar. Kodi yake ni laki mbili. Nililipa miezi sita mkataba...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.