Tuna program inayo husu usimamiaji wamalipo ya ada,usafiri,kifupi usimamiaji wafedha katika shule yako bila kuwepo shuleni kupitia Simu yako yamkononi,tablet compute ili mradi kuwe na mtandao...
AR Production ina kodisha TV za kisasa Inch 55 kwa ajili ya Sherehe kama vile Harusi, vikao na mikutano mbalimbali.
Kwa maelezo zaidi wasiliana nami kupitia namba 0719040659
Ni kiwanja kilichopimwa na kina hati katika eneo la Mwanva (sio Mwanza), Kahama. Kiwanja kina ujazo wa chini ( low density). Kama muhitaji ni PM bei ni 8 Mil.
SIMU TAJWA KATIKA KICHWA CHA THREAD HAPO JUU INAUZWA IKIWA NA SPECIFICATIONS KAMA IFUATAVYO
NETWORK
Technology
GSM / HSPA / LTE
BODY
Dimensions
148.5 x 76.4 x 7.8 mm (5.85 x...
Nahitaji nyumba ya kupanga maeneo ya Ubungo, Kimara au Mbezi iwe na maji yasiyosumbua umeme wa kujitegemea, geti na fensi vyumba viwili jiko sebule na choo ndani isiwe mbali na barabara kuu ya...
KIGAMBONI TOANGOMA
Viwanja vipo kuanzia milioni nne na nusu na kuendelea
1. Mita za mraba (meter square) = 845, bei milioni 18
2. Mita za mraba (meter square) = 750, bei milioni 15...
Habari wakuu,
Mimi ni mjasiriamali mdogo,ninahtaji mkopo kutoka kwa mtu binafsi ambae atanikopesha fedha kwa ajili ya kukuza mtaji wangu wa biashara,malipo ni kila mwisho wa mwezi na pia nipo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.