nyumba ipo mbagala kwa mmwera, ina vyumba 4, sitting room na dining, parking, na eneo la kutosha kujenga vyumba vya uani. Inahitaji matengenezo kidogo. Ni sh. mil 20. kwa mawasiliano 0655674900
Mkuu ukiuza "Bila Kutupia Kapicha", wewe utakua mwanga na ulete mrejesho hapa jamvini.....
Mbagala ni kubwa, unapotaja majina kama kwa Mwera yule wa mbali na hapo hawezi fahamu. Mf.ainisha ni umbali gani kutoka katikati ya jiji n.k