Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Jipatie huduma za matengenezo ya computer popote ulipo kwa wakazi wa Dar es salaam na maeneo ya jirani. Huduma tunazotoa ni :- 1.Tunatengeneza computer zilizoharibika, kama unahisi computer yako...
0 Reactions
17 Replies
5K Views
Nina Techno P5 ipo katika ubora ninahitaji simu ya samsung ikipatikana S2 sio mbaya niko Dar
0 Reactions
1 Replies
797 Views
Kama kicha cha habari kinavyojieleza, nahitaji Desktop ya Dell wakuu, yenye kuanzia ram 2gb Kwa anaeuza karibu tufanye biashara Nicheki 0716863406 bei isizidi laki unusu
0 Reactions
2 Replies
894 Views
Wallanty 12 moths INT Memory 16gb Display 4.7 Camera 8mp Bei 400k
0 Reactions
0 Replies
848 Views
NYUMBA INAPANGISHWA; Ipo mwananyamala,karibu na kanisa ama karibu na Club Africando. ina vyumba vitatu,kimojawapo ni masterbedroom,sitting room, dinning,store,public toilet.imezungushiwa ukuta...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Simu tajwa hapo juu inauzwa, ipo katika hali nzuri haina clerk hata moja, nmeambatanisha na picha kibao za hyo simu. Bei ni 300,000/= ingawa inaweza ikashuka kidogo. kama upo interested nicheck...
1 Reactions
11 Replies
1K Views
met with a panel of technicians who specialize in various fields such as: - electrical installation plumbing, tiles, painting, decor, art, gardening, sculpture, furniture and building...
0 Reactions
2 Replies
893 Views
Chumba na sebule vinapangishwa eneo la Tabata Chama bei ni laki moja kwa mwezi (100,000/=) mazingira ni mazuri utayapenda yanautulivu wa kutosha Mawasiliano:-0659413181, 0717747181
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Habari ndugu wadau, Mimi ni mjasiriamali,ninahitaji kukopeshwa fedha na mtu binafsi,na nitarudisha hiyo fedha kwa riba.
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Tigo 240 mpesa 170 airtel 130 unapata na logbook zake zikiwa mpya serious buyers only 0712191251
1 Reactions
19 Replies
2K Views
Nahitaji kiwanja bei milioni 3.5 kiwe jirani na umeme, kisiwe bondeni na mwisho kiwe kikubwa na chenye barabara hisiyo na mizengwe. Maeneo ukonga na mbagala. Nipm kama kina sifa hizo
0 Reactions
18 Replies
3K Views
Nauza gari aina ya Suzuki Escudo Kwa uhitaji wako wa gari hii au ingine Upendayo tuma msg au whasap au piga 0656436662
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Wakuu natafuta nyumba ya kununua sinza au Kijitonyama. Iwe kwenye hali nzuri na kwenye kiwanja kilichopimwa. Budget yangu ni up to 80m kulingana na ubora wa nyumba. Shukran
1 Reactions
0 Replies
1K Views
Habari zenu wanajamii? Nina shida ya kuku wanyama wakubwa kuanzia 1.5kg nakuendelea,bei ni maelewano katiyangu na mfugaji.Nahitaji zaid ya kuku 3000kg kwa wiki wakiwa fresh na...
1 Reactions
4 Replies
2K Views
SmartFundi Co Ltd The company deals with the total solution for house finishing and renovation, basically every work that is associated with constructions and/or decoration of the house. we also...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Tecno h3 INA crack kwenye kioo kidogo kwachini ila inafanya kazi fresh Vila tatizo, bei 70000kama umeipenda tufanye biz 0719908742
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Naomba kuambiwa wapi naweza nunua makaratasi (rims)kwa bei ya jumla na ni shilingi ngapi kwa carton 1 naomba ushirikiano wenu,
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Picha hizo hapo chini. Kwa anayehitaji kwa ajili ya kukodisha tuwasiliane kwa number 0712172380/0786855280/0765172380. A
0 Reactions
3 Replies
3K Views
Back
Top Bottom