Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Being ya king'amuzi cha azam
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Husika na somo hapo juu tunahitaji bajaji mbili zenye good condition. Ni pm picha na bei yako.
1 Reactions
19 Replies
3K Views
Taarifa njema ni kuwa Gharama za kununua kifaa cha ku-control joto kwa ajili ya incubator kinapatikana kwa bei poa ya 50000/= tu kikiwa tayari na vifaa vyote kama Sensor ya joto,na contactor ya...
0 Reactions
2 Replies
7K Views
Wakuu natafuta gari automatic ya shilingi milioni nne ambaye anayo awasiliane nami kupitia 0658578715
0 Reactions
34 Replies
6K Views
Kama kichwa cha habari kinavyoeleza, wakuu nahitaji gari gharama yake isizidi milioni 4.5, iwe katika hali nzuri. Mawasiliano: 0788099470
0 Reactions
14 Replies
2K Views
Nauza mak ii 1g nzima hatari haina tatizo lolote waweza kuja na fundi wako bei ml.2 nichek namba 0655 164040 dar (mbezi)
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Natafuta msichana anayeweza kufanya kazi za saloon kama kusuka, kuset, kushonea na kazi zingine za saloon. Awe na umri kuanzia miaka 20, awe na bidii katika kufanya kazi na awe anaishi maeneo ya...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
wakuu kichwa cha habari kinajieleza apo juu. inahitajika haraka sana original HTC one X iliyo katika hali nzuri na reasonable price na hata kama ni mpya pia niambie bei gani ili nione kama...
0 Reactions
0 Replies
742 Views
Pata hii External HDD Mpya kabisa kwenye Box Lake ikiwa na 45 TV -Series kali na zinazotamba kwa Sasa, upata kuburudika Nyumbani au ukiwa Mapumzikoni/Safari. Hii sio ya Kukosa. Ni offer. Bei...
0 Reactions
15 Replies
2K Views
Nyumba ipo mbezi beach...ina eneo kubwa la parking na garden napatikana kwa 0713806766. Bei ni milion 800
1 Reactions
0 Replies
697 Views
chumba,sebule na choo kilo kinondoni B kwa 180,000 please call 0676019019
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Husika kichwa hapo juu nauza bajaj tvs king zimetumika zipo 2 na pikipiki Sanlg imetumika kama bodaboda na kabati kubwa la vyombo mti mninga. Picha sijapiga ila nipo ubungo karibu Kwa serious...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Natafuta experienced tour guide anayejua mwenye knowledge ya kutosha kuhusu Mji wa Bagamoyo na vivutio vyake. Kuna watoto wa shule wanaenda kwa ajili ya kujifunza na kuburudika, Itakuwa ni vema...
0 Reactions
13 Replies
3K Views
Nyumba inauzwa mikocheni B. mtaa wenye Maznat Bridal salon. kwa picha na maelezo ya bei na ukubwa wa kiwanja tafadhali piga simu 0755 092 734.
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Brandnew Selfie sticks for sale Green,Blue, Black and Pink colours are available Price 16,000 Contact 0718942311 or 0785300134
0 Reactions
0 Replies
674 Views
Nipo Mwanza. Nahitaji simu ya Tecno Cammon C5 iwe kwenye hali nzuri. Nitakupa laki 180. Cont; voda~0756851815. tiGO~0673851815.
0 Reactions
0 Replies
755 Views
Wana JF ninauza mashine ya Ceragem inayotumia umeme ambayo hutibu magonjwa yote isipokuwa yale ya kuambukiza kama vile HIV, TB, Malaria n.k Naiuza ikiwa na vifaa vyake vyote kwa Shs. 1.5m baada...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
kwa anayeuza mayai ya kanga nahitaji niko kimara dar. nataka ya kutotolesha
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Jipatie uyoga fresh mbichi kwa sh 10,000 kwa ujazo wa kg 1, nipo Kigamboni pia nakuletea kokote ulipo. Wasiliana nami kwa simu 0657868981
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Back
Top Bottom