Surveyed plots for sale; Gezaulole, Kigamboni

Surveyed plots for sale; Gezaulole, Kigamboni

Shakir

JF-Expert Member
Joined
Jul 31, 2012
Posts
1,735
Reaction score
2,152
Wadau,

Ndugu yangu anauza Plots mbalimbali zilizopimwa maeneo ya Gezaulole, Kigamboni. Viwanja hivyo vimepimwa na vina OFFER, utakaponunua utasaidiwa kupata hati ambayo itatoka kwa jina lako.

Viwanja vipo 15km from ferry, na bei yake ni Tshs 16,000/Sqm fixed price. Vinaanzia ukubwa wa 800sqm mpaka 1,500sqm na viko 12.

Mawasiliano zaidi 0684 477 150 au PM
 
Mil 12,800,000 kwa kiwanja cha 800sqm na mil 24,000,000 kwa kiwanja cha 1500sqm.
Mbona ghali?
 
Mil 12,800,000 kwa kiwanja cha 800sqm na mil 24,000,000 kwa kiwanja cha 1500sqm.
Mbona ghali?

Mkuu upo mkoa gani?

Sehemu nyingine hapa Dar hiyo 12mil unapata kiwanja cha 400sqm tu...
 
Mkuu upo mkoa gani?

Sehemu nyingine hapa Dar hiyo 12mil unapata kiwanja cha 400sqm tu...

Hilo nalifahamu lkn huko alikotaja bei hazijafika kiasi hicho.
Mimi nina shamba km 25 kutoka kigamboni na bei ya HEKA NZIMA haijafika mil 8.
 
Hilo nalifahamu lkn huko alikotaja bei hazijafika kiasi hicho.
Mimi nina shamba km 25 kutoka kigamboni na bei ya HEKA NZIMA haijafika mil 8.

Na limepimwa?

Maana naona muuzaji hapa kaonesha kama sehemu zake zimepimwa...

Ila hata hivyo ununuaji wa viwaja kwa Dar upo kijanja janja sana, viwanja huwa ni gharama mno...
 
Na limepimwa?

Maana naona muuzaji hapa kaonesha kama sehemu zake zimepimwa...

Ila hata hivyo ununuaji wa viwaja kwa Dar upo kijanja janja sana, viwanja huwa ni gharama mno...

Havijapimwa lkn Km usemavyo ujanja umekuwa mwingi mno.
Usipochunga inakula kwako.
 
Hilo nalifahamu lkn huko alikotaja bei hazijafika kiasi hicho.
Mimi nina shamba km 25 kutoka kigamboni na bei ya HEKA NZIMA haijafika mil 8.

Mkuu,
Wewe unazungumzia Shamba, mi nazungumzia Kiwanja,

Pili unazungumzia 25km, mi nazungumzia 15km

Mwishowe wewe unazungumzia unsurveyed, mi nazungumzia surveyed.

Labda jaribu ku-google bei za viwanja Gezaulole au hata Kibada, Goba, Mbweni etc uone bei zake!
 
Mkuu,
Wewe unazungumzia Shamba, mi nazungumzia Kiwanja,

Pili unazungumzia 25km, mi nazungumzia 15km

Mwishowe wewe unazungumzia unsurveyed, mi nazungumzia surveyed.

Labda jaribu ku-google bei za viwanja Gezaulole au hata Kibada, Goba, Mbweni etc uone bei zake!

Nakusoma mkuu.
 
Havijapimwa lkn Km usemavyo ujanja umekuwa mwingi mno.
Usipochunga inakula kwako.
Wala hutouziwa mitaani, Bali unatoka mguu kwa mguu Mpaka manispaa ya Temeke, ofisi ya Ardhi kuhakiki kama Voucher ni halali na anaekuuzia ndie mmiliki.

Ukishahakiki ndio walipia hapo!
 
Wala hutouziwa mitaani, Bali unatoka mguu kwa mguu Mpaka manispaa ya Temeke, ofisi ya Ardhi kuhakiki kama Voucher ni halali na anaekuuzia ndie mmiliki.

Ukishahakiki ndio walipia hapo!
Safi sana,
No longolongo
 
sqm 800 kipo block gani? 10ml unachukua?
Vyote viko Block B, Mwanzo Mgumu!
Tshs 16,000/- per Sqm ni very reasonable price, pengine ungeviona kwanza ungeamini!
 
Vyote viko Block B, Mwanzo Mgumu!
Tshs 16,000/- per Sqm ni very reasonable price, pengine ungeviona kwanza ungeamini!

Hili la msingi sana,
Mtakaji kweli utamjulia hapo,
Maana wengine ni wajaza seva tu.
 
Vyote viko Block B, Mwanzo Mgumu!
Tshs 16,000/- per Sqm ni very reasonable price, pengine ungeviona kwanza ungeamini!

Kwahiyo hiyo ni hela ya kununua vocha au tayari kimeshalipiwa? Mwanzo mgumu unapita gezaulole? pia biashara yako hakuna maongezi?
 
wageni (mkenya) wanaweza nunua kiwanja huku na lease ni ya miaka mingapi
 
Back
Top Bottom