Habari wakuu wa humu ndani,nauza laptop za aina mbalimbali,mfano Dell,Toshiba,Hp,Lenovo na n.k kwa bei nafuu kabisa,laptop zetu ni used na zina ubora wa hali ya juu,na bei zetu ni nafuu kabisa,.Na...
Nauza Stationery na vitu vyote. Ofisi iko site nzuri sana hata ukihiitaji kuendelea hapo hapo.
Ofisi ipo Maeneo ya kilombero kwa father babu, karibia na chuo kikuu cha St. Augustin.
Ina vitu...
HP 15 TS Notebook
15.6ins. Touch screen
6GB RAM
1TB HDD
Core i3 - 4th Gen.
Windows 10 Home
CD/DVD
Black color. Excellent condition. Used 3 months.
Price TShs. 600,000
Tel 0759 777194
DAMAX Creative CV development service.
In today's job market, standing out from the crowd is essential. Your CV is your opportunity to show your future employers that you are the best...
Wakuu nauza kiwanja kipo maeneo ya Mbagara, Charambe kinaukubwa wa 40Ã-40.
Kipo karibu na barabara, eneo lina umeme pia kiwanja hakina darali tunafanya biashara kimepimwa na kina hatimiliki zote...
Heshima Mbele.
kwa wale wote wanaohitaji huduma ya passport size photos express kwa ajiri ya wanafunzi au kundi maalum .
Tunapiga picha kwa gharama nafuu DSM na maeneo jirani.
Ili tufike...
Habari,
Kwa wale wanaohitaji kuagiza(import) gari kutoka japan tafadhali wasiliana nami kupitia e-mail yangu dengnikki89@gmail.com au inbox kwa kunijulisha(maker, model, namba yako ya simu na...
Nauza viwanja vyenye ukubwa tofauti tofauti,kuanzia sqm 400, viwanja viko Kimbiji-Kigamboni kata ya Pemba mnazi 34 km kutoka ferry na vingine viko Chalinze.
Bei kwa viwanja vya kigamboni ni...
Shamba lenye ukubwa wa hekari 30 linauzwa. Liko 20km kutoka kwenye daraja Jipya la kigamboni, liko mwasonga 3km kutoka barabara kuu.
Bei ni Tzs 10m kwa hekari, lakini mazungumzo yapo. Shamba...
Habari wakuu. Naomba kujua ni kampuni gani inatengeneza mihuri ya moto kwa Dodoma mjini. I accept the physical address directives au text to 0654000253. Please its urgent
Habari,
Kampuni yetu ya Central Park Bees Limited inakuja na Starter KIT iliyokamilika ya kukuwezesha wewe kuingia katika biashara ya ufugaji wa nyuki kwa njia ya kisasa na yenye mafanikio...
Wadau ninauza Lap y HP min kwa bei rahisi.
SPEC;
RAM-2GB
HDD-200GB
BATTERY-4HRS.
But lap inahitaji Housing pamoja n power switch ila kila kitu kinafanya kazi poa.
Kwa mawasiliano 0718928267
Wadau natafuta frem sehem yoyote Dar lakini iwe na mzunguko mkubwa wa watu ni kwa ajili ya Biashara ya uwakala na Nguo.
Bei isizidi elfu 50,000 kwa mwezi.