Habari wanajamvi zikiwa zimebaki siku mbili naomba mwenye kunisaidia nikapige kura ili kutimiza haki yangu Kikatiba ya kumchagua kiongozi ninaemtaka. Nauli ni sh 15,000/= tu chuo kipo Morogoro nitashukuru sana kwa msaada naamini kura yangu niyathaman sana. Mwenye kutaka kunisaidia nimPM nimpe namba ya simu.