Wanajamiiforum ninawasalimu,
Nauza simu yangu viwa max5 imetumika miezi miwili, ninaiuza kwasababu kwa sasa ninauhitaji wa pesa mkubwa ukilinganisha na uhitaji wa simu.
Niko Mbeya
0768581799
simu aina ya galaxy note 3 original inauzwa shilingi laki 6. simu haijatumika sana na sababu ya kuuzwa ni kwamba nimepata galaxy note 4 hivyo nauza hii 3.
specs zake zione hapa
Samsung...
Nyumba inauzwa maeneo ya ituha (Mbeya Mjini). Si umbali mrefu kutoka inapoishia rami.(Unaingulia Sae). Ina vyumba vitatu vya kulala (kimoja kati ya hivyo ni self), Ina sitting room, dinning room...
Kwa wale wabunge wapya nawajulusha kuwa nina nyumba nzuri eneo la kisasa.
Master mbili na chumba kimoja pia kina choo chake.
Mnaweza hata kushea nyumba ni nzuri na mpya usalama upo.
kwa...
Tunatengeneza Blog zakisasa kwa shilingi Elfu kumi tu. Utalipia baada ya kazi kukamilika. Karibu sana.
Hizi ni sample za blog tulizo tengeneza Kijiwe Cha Wasomi, Modegi Company Limited | Building...
Habari wana jamvi, tunawakaribisha wote wanaotaka kufundishwa utaalam wa tshirt printing na hata wale wote wanaotaka kujifunza kwa undani utengenezaji wa batiki mitindo mbalimbali.
karibu chuoni...
Ili uweze kutunza kumbukumbu zako za biashara yako ni vizuri ukatumia Software ya Accounting package kama Tally na nyingine. N wakaribisha wote mnahita TALY 9 ERP kwa Mutl user ni...
Kuna note 3 internal memory 32gb bei 650000
Kuna note 4 internal memory 32gb bei 850000
Kuna Samsung galaxy s5 internal memory 16gb bei 620000
Kuna Sony xperia z2 bei 670000
sum zote ni mpya...
Model number: GT i9505 , Internatinal Version
Internal Memory: 16 GB
Colour: White Frost
Connectivity: 2G , 3G , 4G LTE
For More info Call/WhatsApp: +255 719799118
Imetumika kwa miezi 5...
Naomba kujuzwa maeneo gani naweza kupata Shamba kwa heka laki 3 au 4 maeneo ya Dar au nje kidogo ya Dar?
Mwenye kujua msaada wakuu.
Mawasiliano 0784791233.
Nina 2mil (Tsh2,000,000 cash), ukubwa sqm400(mita20*20), hakuna pesa ya kuongeza, pia kama huna pita kimya kimya, Maeneo ninayopendelea ni
1. Chanika kuanzia kwa ZOO hadi Chanika Msumbiji umbali...
Tunajishugulisha na ku program funguo za gari zenye sensor(transponder) kwa gari aina zote,vile vile tunaprogram remote na engine control unit na immobilizer system.
Bei zetu ni nafuu...
Nauza s3 yangu kwa wale mafundi simu wanaohitaji vifaa.
Simu iko katika hali nzuri, kioo ni kizuri hakina scratch.
Bei ni laki 1,kwa mawasiliano zaidi nicheki PM.
Picha zake hizi hapa chini