Shamba lemye miti ya mbao linauzwa

Shamba lemye miti ya mbao linauzwa

Ulongupanjala

JF-Expert Member
Joined
Apr 9, 2013
Posts
8,521
Reaction score
14,000
Shamba lenye miti ya mbao (pines) iliyotunzwa vizuri linauzwa Njombe ukubwa ni robo heka miti ina mika 4 tokea kupandwa kwake na inategemewa kuvunwa baada ya miaka 4.Shamba lipo eneo la Magoda

Bei ni milioni moja.
ni PM.
 
Robo eka 1m, du hapana. Wakati sasa hivi ya miaka 3 hadi laki 8 unapata. Kwa ekari
 
Vipi jamaa wa misitu na nyuki wanalitambua hilo shamba..?
je lina miti aina gani isije kuwa miti ya mitiki kama waliyokata bandari jana
Vipi kuhusu kodi, imelipwa kama inavyostahili..?
 
Biashara huria,kama lipo na bei hiyo anzisha na wewe uzi wako utangaze biashara yako,shida ipo wapi? Au unawashwa?

Robo eka 1m, du hapana. Wakati sasa hivi ya miaka 3 hadi laki 8 unapata. Kwa ekari
 
Taratibu zote za kulima kwenye eno hilo zimefuatwa ikiwemo pamoja na malipo stahiki.
Shamba liko Magoda, lina miti ya mbao aina ya pines na ina muri wa miaka minne na miti ipo si chini 220 katika hiyo robo heka.

Vipi jamaa wa misitu na nyuki wanalitambua hilo shamba..?
je lina miti aina gani isije kuwa miti ya mitiki kama waliyokata bandari jana
Vipi kuhusu kodi, imelipwa kama inavyostahili..?
 
Back
Top Bottom