Natafuta shamba la kupanda miti Njombe au mufindi. Naomba nitumie bei ya shamba na sehemu shmba lilipo. Lisiwe mbali sana na barabara.
Maximum ekari 200..
Asanteni.
Nyumba ipo kwenye lenta ni ya kupauwa, bei 15ml , room mbili za kulala, choo, chandani na cha nje. Sebule na jiko kiwanja ni 20mt x 12 mt kunna umeme na maji, kwa anaehitaji ani pm
Habarini wakuu.
Nina mil 8 wadau nahitaji gari zuri aina ya toyota na lianzie namba C nipo Mbeya ila mwenye nalo popote TZ tuwasiliane humu JF au whatsapp
0753255844.
Body ya gari iwe kama mpya...
Nauza kiwanja kipo mbezi msumi eneo la goba mpakani na ni karibu na shule ya msingi goba mpkanai au Tegeta A. Kina ukubwa wa mita 20 kwa 20 (sqm 400) na panafikika vizuri pia ni tambarare. Bei ni...
Ni mpya kabisa, ina kila kitu,pluss secreen protector ya glass,pluss cover.
Ina wallanty miaka miwili na warranty ipo.
Ni 520k, kama upo serious kwa wakaz wa DSM, nicheki kwa
0713 190 118.
Hello friends,
Mimi ni freelance Web & Graphic designer, natafuta ofisi inayofanya shughuli kama hizo tukubaliane uwezekano wa kuwa na kiti/dawati langu ambalo nitakuwa nikifanyia shughuli zangu...
Je unajua kuwa unaweza kutengeneza pesa kupitia mitandao ya kijamii kama vile (facebook ,twitter na mingineyo).
Pata fursa ya kugawana mamilioni ya pesa yatengenezwayo na mitando ya kijamii...
Shamba heka 11 lenye hati miliki linahuzwa Mkuranga Mwanambaya lipo km 2 kutoka barabarani kuna umeme na karibu nashamba r,ahisi mstafu Mwinyi.
Bei 49.5mill (punguzo lipo kidogo).
Simu...
Habri zenu waungwana,mie ni mtaalamu wa Umeme wa majumbani,
-Nafanya wiring katika nyumba iwe kubwa ama ndogo.
-Narekebisha hitilafu katika nyumba.
-Natoa ushauri katika mambo ya kiumeme
kwa...
wakuu nauza frige aina ya Index ni used ina milango 2 na chini kuna zile droo ramsi za kugandishia.... shida ya hiyo frige ni ges tu... naliuza laki moja na elf 20
Wakuu natengeneza system mbalimbali kwa yeyote anayehitaji, system ni za mambo mbalimbali kama vile shule, inventory, HR, Hospital management system nk Bei zetu ni Nafuu kabisa, tupigie sasa...
SSSRC Ltd.
We are independent provider of research, analysis and advice in economic and social development. Established 2012, and operating across Kenya, Tanzania and soon Uganda.
SERVICES
We...
2daysky ni mtandao mpya wa kijamii ulioanzishwa hapahapa Tanzania. Tunapenda kuwakaribisha watu wote mjisajiri kwenye mtandao huu kwa kutembelea www.2daysky.com. Tunakaribisha maoni na ushauri...