Nyumba ipo kwenye lenta ni ya kupauwa, bei 15ml , room mbili za kulala, choo, chandani na cha nje. Sebule na jiko kiwanja ni 20mt x 12 mt kunna umeme na maji, kwa anaehitaji ani pm
Nosvela ungeapload picha na kufafanua kuwa ni mwisho wa lami kuelekea wapi au ni karibu na sehemu gani maarufu, mfano ni mtaa wa masaleni, kona kiserian, st. Judy, njia ya ng'ombe au ni maeneo yapi kwa kutoa maelezo mazuri mteja anaweza patikana
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.