Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Habari wakuu, Natafuta Chumba chenye umeme na dari maeneo ya mbagala Kuu, butcher, mgeni nani na neluka na maeneo ya karib yenye utulivu. Budget range ni 25k to 35k per month.thanks!
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Viwanja vinauzwa bomangombe hai mini Vipo sehemu nzuri za makazi Bei maelewano Tuma SMS kwa 0768807475 Text viwanja utapigiwa kwenda kukagua
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Nyumba inapangishwa Tabata Bima... ni kubwa ya familia... 1: Room 4, moja master 2: Ina fence, umeme na maji, geti linahitaji marekebisho madogo ..pia rangi ya ndani itarudiwa... 3: Usalama wa...
0 Reactions
9 Replies
1K Views
Naombeni msaada natafuta tairi Za Michellin 445/80 R 25 Very urgent, nimewacheki BinSlum na Superdoll naona hawana Please mail 255786485243
0 Reactions
0 Replies
844 Views
Nauza Bajaji Piaggio APE,imetumika mwaka mmoja,bado iko vizuri sana.Serious buyer anicheck
0 Reactions
1 Replies
1K Views
habari wadau Yeyote mwenye expeience na aina hii ya gari naomba unisaidie pro and cons zake Asanteni sana
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Habari zenu wote. Mganga wa mapenzi anahitajika haraka kutoa msaada kwa jahazi linalozama katika mahusiano yangu na mchumba wangu. Mchumba wangu kabadilika ghafla kiasi kwamba hataki hata kuniona...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Huawei P8..Brand New Comes with protector and cover Price; tsh.700,000/=(negotiable) Call/Text ; 0653284788
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Nauza htc one m7 bado mpya Full accessories (earphone + charg) Bei 350,000 Tuwasiliane kupitia 0758728258,0718327776
0 Reactions
3 Replies
837 Views
Wana jf, nauza viwanja. sifa zake 1. vimepimwa na vina hati miliki ya serikali kuu. 2.via ukubwa kuanzia sq. 900 hadi 1300 3.vipo msongola manispaa ya ilala hapa Dar es salaam 4.mawasiliano 0769...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Happy new year Nahitaji suplier wa kuku 2000 kwa wiki only serious people ni pm for further discussion
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Nauza Sony Xperia z3 orignal ipo katika hali nzuri kabisa haina mikwaruzo Wala tatizo lolote bado mpya nimetumia 3moth only bei 700,000 /= Kwa anae taka anicheki 0759733603 Na attach picha
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Samsung s4 mpya inauzwa Full accessories(earphone + charg ) Bei 350,000 Wasiliana nami kupitia 0758728258,0718327776 Pia tunapokea order za cm aina nyingine
0 Reactions
0 Replies
748 Views
Vipo Kigamboni/Lugwadu. Heka mbili (approx) zote ziko barabarani. Moja 10M na nyingine ni 8M. Ukitaka ukatiwe plot ndogo tutakukatia robo kwa 3M (itakuwa around 1225SQM). Nipigie kwa maelezo...
0 Reactions
2 Replies
3K Views
Iwe na namba D kilometa zisizidi 80,000KM, bajeti milioni 9.5. Kama unayo njoo PM tumalize biashara
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Amani kwa wote!! ndugu zangu mwenye kujua bei ya hizi machine za alizeti naomba anijulishe hapa na wapi naweza kuzipata kwa hapa kwetu kwa nyerere,pamoja na machine ndogo ya kuoka mikate BAKERY...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
HP Laptop elitebook 2540p, CPU 2g i5 , RAM 2gb, HDD 250gb, Ina wiki 3 toka inunuliwe, bei 300,000.
0 Reactions
1 Replies
899 Views
nipo dsm tuwasiliane,iwe na speed,internal memo kubwa kiasi na uwezo wa kadri
0 Reactions
9 Replies
950 Views
Simu ni nzima kabsa haijawah funguliwa bei 200k tu, piga cm 0714702720
0 Reactions
2 Replies
851 Views
Heri ya Mwaka mpya wadau. Nina kiwanja changu kiko maeneo ya Kigamboni, sio mbali sana toka ferry. ukubwa ni sqm 465. barabara ipo kama upo interested karibu pm tubagain. bei maelewano. ahsante
0 Reactions
14 Replies
2K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…