Habari wakuu,
Natafuta Chumba chenye umeme na dari maeneo ya mbagala Kuu, butcher, mgeni nani na neluka na maeneo ya karib yenye utulivu. Budget range ni 25k to 35k per month.thanks!
Nyumba inapangishwa Tabata Bima... ni kubwa ya familia...
1: Room 4, moja master
2: Ina fence, umeme na maji, geti linahitaji marekebisho madogo ..pia rangi ya ndani itarudiwa...
3: Usalama wa...
Habari zenu wote.
Mganga wa mapenzi anahitajika haraka kutoa msaada kwa jahazi linalozama katika mahusiano yangu na mchumba wangu. Mchumba wangu kabadilika ghafla kiasi kwamba hataki hata kuniona...
Wana jf, nauza viwanja.
sifa zake
1. vimepimwa na vina hati miliki ya serikali kuu.
2.via ukubwa kuanzia sq. 900 hadi 1300
3.vipo msongola manispaa ya ilala hapa Dar es salaam
4.mawasiliano 0769...
Nauza Sony Xperia z3 orignal ipo katika hali nzuri kabisa haina mikwaruzo Wala tatizo lolote bado mpya nimetumia 3moth only bei 700,000 /=
Kwa anae taka anicheki
0759733603
Na attach picha
Samsung s4 mpya inauzwa
Full accessories(earphone + charg )
Bei 350,000
Wasiliana nami kupitia 0758728258,0718327776
Pia tunapokea order za cm aina nyingine
Vipo Kigamboni/Lugwadu. Heka mbili (approx) zote ziko barabarani. Moja 10M na nyingine ni 8M. Ukitaka ukatiwe plot ndogo tutakukatia robo kwa 3M (itakuwa around 1225SQM).
Nipigie kwa maelezo...
Amani kwa wote!!
ndugu zangu mwenye kujua bei ya hizi machine za alizeti naomba anijulishe hapa na wapi naweza kuzipata kwa hapa kwetu kwa nyerere,pamoja na machine ndogo ya kuoka mikate BAKERY...
Heri ya Mwaka mpya wadau.
Nina kiwanja changu kiko maeneo ya Kigamboni, sio mbali sana toka ferry.
ukubwa ni sqm 465.
barabara ipo
kama upo interested karibu pm tubagain. bei maelewano. ahsante