Wadau naomben msaada wadau. natafuta drum unit ya photocopy mashine aina ya IR 1600. Nipo Dar es salaam. Tafadhali mtu yeyote anayejua anisaidie kwa kunielekeza mahali naweza kuinunua (zinapouzwa)...
Vifaa vya stationari;
*Computer mbili zenye uwezo mkubwa
*Photocopy mashine moja
*photo printer 1
*safari moderm 1
*heavy duty stapler 1
Kama kuna sehem vpo nijulishe model na bei inbox.. Niko...
Hello wadau wote wa JF, napenda kufahamu ni wapi hapa Dar ninaweza ku-change ile mikanda ya Matofali (VHS) kuwa DVDs? ninaomba msaada kujuzwa kwa yeyote yule mwenye kufanya hiyo kazi au kama...
Wapendwa naomba kama kuna mtu mwenye ufahamu wapi naweza pata CD,VHS,VCD au DVD za mambo ya watoto anifahamishe ..
Mwanangu anacatch vitu mapema mno na akishika hasahu sasa kabla hajaanza...
Kwa bei ya KUTUPA KABISA nawaletea mali mpya KUTOKA nje ya nchi.
BEI za bidhaa ziko kwenye picha, nauza kwa gram 1 shilingi 5,500 tu.
Rozari zipo za gram 24 naziuza kwa 132,000 Pia zipo za gram...
Kwa wanaohitaji kutengenezewa blog kwa shughli mbalimbali kama kutangaza bidhaa au kwa matumzi mengine binafsi..contact me: 0718510909 0756-769387 kwa tsh 15,000 tu WAHI SASA..
BLOG SAMPLE :
zejungu
kiwanja kipo eneo la kigamboni njia ya Dege kituo shule, ukubwa wake bado hatua chache kifike Robo Acre, katikati ya kiwanja kuna nyumba kubwa ilikuwa tayari ishaaza kujengwa imefikia nusu. bei...
2600 mAH, Ndogo na Inavutia. Imechaguliwa kama Power Bank bora ya mwaka 2015.
Inaweza kuchaji Iphones, Androids na Simu, PDA na Laptops nyinginezo.
Bei ni nafuu sana ikilinganishwa na ubora...
Kwa wanaohitaji kutengenezewa blog kwa shughli mbalimbali kama kutangaza bidhaa au kwa matumzi mengine binafsi..contact me: 0718510909 0756-769387 kwa tsh 15,000 tu WAHI SASA..
BLOG SAMPLE: zejungu
Wakuu natafuta kaeneo kadogo(square mtrs chache) sana kwa ajili ya kudisplay bidhaa zangu.
Eneo liwe na pilika pilika za kutosha na frem/kichochoro kiwe groundfloor
Mwenye connection na yeyote...
Nataka kubadilisha na simu yangu nokia x2 ya zaman yenye batani na simu yoyote ya smartphone simu ni nzima haina tatzo lolote...
0714269713 kwa mawasiliano