Salaam wadau...nauza mercedez benz Kompressor..2003 model.Gari haijatumika sana hapa Tz.Hali yake nzuri sana.Bei 16m mgongoro yanakaribishwa.Kwamawasiliano zaidi namba ni 0689900000
Janamani. Mie nimehamia moro.
Napenda kujau wapi nitapata kiwanja cha kujenga nyumba maeneo ya msanvu,kihonda, na sehemu zingine karibu na mjini Morogoro.
Nitataka kiwanja chenye eneo la 30*30...
Kwa Tathmini ya matokeo ya kidato cha nne mwaka 2015 ni kuwa;
Division One: 9,816 (2.77%)
Division Two: 31,986 (9.01%)
Division Three: 48,127 (13.56%)
Division Four: 240,996 (67.91%)
Division...
Nyumba inauzwa Uhindini Mbeya 280m. Ina maduka manne mbele. Mazungumzo yapo kwenye kupunguziana bei.
wasiliana nami kwa simu namba 0754060350,0719252818
Frame Kubwa (Futi 41 x 15 ) inapangishwa maeneo ya Bamaga Opposite Chuo cha Ustawi wa Jamii. Frame inaangalia Barabara kuu. Frame ilikuwa Studio ya Picha, Ina Patishen 4, Yaani Vyumba Vinne...
Kiwanja kinauzwa Uhindini Mbeya. Ni kiwanja chenye hati, ni kiwanja kikubwa sana. Ni eneo zuri la biashara. kwa mawasiliano wasiliana nami kwa simu namba 0754060350,0716252818.
Kiwanja kinauzwa 18m, jirani na Kanji larji, ni kiwanja kikubwa. Ni eneo la biashara, kwa mawasiliano wasiliana nami kwa simu namba 0754060350,0716252818.
Nyumba inapangishwa Uhindini Mbeya dola 800, mazungumzo yapo. Ni nyumba yenye vyumba vitatu vya kulala, sebule kubwa, chumba cha chakula, jiko kubwa. Ni nyumba nzuri sana!! kwa mawasiliano...
Kiwanja cha barabarani, kinauzwa maeneo ya Sae mbeya. Ni eneo zuri kwa biashara. Ni eneo kubwa linauzwa 180m.
Kwa mawasiliano wasiliana nami kwa simu namba 0754060350,0716252818.
Nyumba yenye vyumba vitatu vya kulala, sebule kubwa, sehemu ya kupaki gari, jiko kubwa, inapangishwa kwa gharama ya Tshs. 650,000/= mazungumzo yapo. kwa mawasiliano wasiliana nami kwa simu namba...
Kama wewe ni mhanga wa hayo matatizo pitia hapa kuna mti wa dawa ya kienyeji hii haina madhara inaleta heshima ya ndoa pia kwa mpenzi wako aliekuwa hakuheshimu kwa kutomridhisha hili ni vumbi...
Ina Chumba kimoja master ,sebule na jiko vyote ndani mazingira mazuri ndani ya geti parking ipo maji yapo 24hrs na umeme ni wa kujitegemea una luku yako binafsi no kushea Maeneo ya mwenge...
Kama kuna kifaa chochote cha garage unahitaji wasiliana na mm.
Vifaa kwa mafundi wa engine
Wheel alignment machine
Battery chargers and boosters
Scissor lifts ideal for wheel alignment
2posts...
Habari wana jamvi ninahitaji 70milioni. kwa muda wa mwezi mmoja tu na nitarudisha 80Milioni baada ya huo mwezi mmoja kama unayo na uko interested ni PM.
MREJESHO
Tayari imeshapatikana kuna mwana...
Wakuu habari? Naomba mwenye kujua kampuni zinazo husika na kufanya clearing kule uwanja wa ndege wa Dar anitumie conatct ninashida sana nao, kuna mzigo nataka kuagiza ila kabla ya kuagzia nataka...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.