Amavubi JF-Expert Member Joined Dec 9, 2010 Posts 30,156 Reaction score 13,267 Mar 30, 2016 #1 Kuna Uncle wangu anatafuta mshitiri wa eneo lake lililoko Mtoni Kijichi Kama ungependa kuwa mshitiri wa eneo hilo basi tuwasiliane kwa maelezo ya kina Lina ukubwa wa 34x18 na ameshaweka banda tayari ila panahitaji muendelezo.............
Kuna Uncle wangu anatafuta mshitiri wa eneo lake lililoko Mtoni Kijichi Kama ungependa kuwa mshitiri wa eneo hilo basi tuwasiliane kwa maelezo ya kina Lina ukubwa wa 34x18 na ameshaweka banda tayari ila panahitaji muendelezo.............
Desire Dizaya JF-Expert Member Joined Feb 16, 2015 Posts 6,476 Reaction score 11,672 Mar 30, 2016 #2 Naomba maana Ya mshitiri..Pls
Bigbootylover JF-Expert Member Joined Oct 4, 2015 Posts 2,847 Reaction score 1,836 Mar 30, 2016 #3 Duh kweli kiswahili kigumu, ndo nini hiki
Amavubi JF-Expert Member Joined Dec 9, 2010 Posts 30,156 Reaction score 13,267 Mar 30, 2016 Thread starter #4 aggyjay said: Naomba maana Ya mshitiri..Pls Click to expand... client ambaye mtafikia maafaikiano ya kujenga hilo eneo na kuingia mkataba wa malipizi (compensation)
aggyjay said: Naomba maana Ya mshitiri..Pls Click to expand... client ambaye mtafikia maafaikiano ya kujenga hilo eneo na kuingia mkataba wa malipizi (compensation)
Desire Dizaya JF-Expert Member Joined Feb 16, 2015 Posts 6,476 Reaction score 11,672 Mar 30, 2016 #5 Amavubi said: client ambaye mtafikia maafaikiano ya kujenga hilo eneo na kuingia mkataba wa malipizi (compensation) Click to expand... asante sana
Amavubi said: client ambaye mtafikia maafaikiano ya kujenga hilo eneo na kuingia mkataba wa malipizi (compensation) Click to expand... asante sana
Amavubi JF-Expert Member Joined Dec 9, 2010 Posts 30,156 Reaction score 13,267 Mar 30, 2016 Thread starter #6 mshitiri nm (wa-) [a-/wa-] customer, buyer, subscriber.
Amavubi JF-Expert Member Joined Dec 9, 2010 Posts 30,156 Reaction score 13,267 Mar 30, 2016 Thread starter #7 aggyjay said: asante sana Click to expand... nilifikiri unataka kuwa mshitiri kumba umejifunza kiswahili tu
aggyjay said: asante sana Click to expand... nilifikiri unataka kuwa mshitiri kumba umejifunza kiswahili tu
Desire Dizaya JF-Expert Member Joined Feb 16, 2015 Posts 6,476 Reaction score 11,672 Mar 30, 2016 #8 Amavubi said: nilifikiri unataka kuwa mshitiri kumba umejifunza kiswahili tu Click to expand... umetumia neno gumu ndo mana nkataka kujua tu.Hata hivyo nimejifunza..
Amavubi said: nilifikiri unataka kuwa mshitiri kumba umejifunza kiswahili tu Click to expand... umetumia neno gumu ndo mana nkataka kujua tu.Hata hivyo nimejifunza..