Wenyeji wa wilaya ya Mbinga naomba msaada

Wenyeji wa wilaya ya Mbinga naomba msaada

popo1986

JF-Expert Member
Joined
Jul 30, 2014
Posts
1,120
Reaction score
373
Wanajamvi habari za asubuhi,

Leo nimeibuka na kuomba msaada wa mrejesho juu ya bei za vyumba hapo mbinga mimi ni mgeni hapo napenda chumba chenye self contained au kingine kila kiwe kizuri wakuu na wenyeji wa mji.

Naomba msaada waungwana.
 
Kwa ninavyoijua mbinga,chumba kizuri hakizidi elfu 25.
 
Back
Top Bottom