Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Natafuta CPU used iwe hali nzuri. Vigezo: 4gb RAM,150gb HD or more iwe na HDMI port. Dau langu 120,000.
0 Reactions
1 Replies
743 Views
0713691101
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Iwe vyumba yenye vyumba vya kulala visivyopungua vitatu, iwe imejengwa katika kiwanja ambacho kimepimwa na kina hati miliki, bei yake isizidi tshs100mil. Natarajia kupigiwa simu na mmiliki wa...
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Eneo linauzwa haraka,Lipo Kinzudi Goba, Ukubwa- 9,276square metres, Kimepimwa, Kuna nyumba kubwa ambayo haikumalizika yenye umeme na Kisima cha maji ya chumvi, Bei yake kila kitu ni...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Tank ni Lita 5000 pamoja na stannd yake ambayo ni chuma ndefu kuzidi urefu wa nyumba, bei pamoja ni 1,500,000 kama unahitaji vyote nichek kwa 0713415537
0 Reactions
14 Replies
10K Views
Kiwanja kipo katika hali nzuri mno ni maeneo yaliyopimwa na hati ya kiwanja ipo.Kiwanja kina ukubwa wa wa mita za mraba 963. Hakuna dalali. Bei 7m pia kuna maongezi kidooooogo.0713691101
0 Reactions
21 Replies
3K Views
Nauza king'amuzi cha startimes kwa 70000 tu hakipungui. Aliye serious tu anitafute. 0716013287. Nipo Kimara
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Ipo maeneo ya airport. Ina vyumba vinne na sehemu ya kufanyia biashara vyumba vinne vya frem.
0 Reactions
7 Replies
897 Views
Mzigo upo dukani
0 Reactions
2 Replies
1K Views
shamba hekari tano linauzwa chamwino ikulu ni eneo zuri ambalo kuna bbadhi ya viongozi wa juu wamewekeza bei ni millioni 9... maongezi yapo.0625648906
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Nyumba inauzwa iko magomeni kondoa-Dsm, karibu na makanya kwa Bonge. Ipo mtaa wa Lalago.karibu kabisa na LAVISTA hotel. Ina vyumba 3 na vyoo viwili, Chumba kimoja ni Master(kubwa). Panapitika...
0 Reactions
10 Replies
3K Views
Ipo maeneo ya mbezi msakuzi ila haijamalizika imefikia kwenye linta. Kwa maelezo zaidi ni pm
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Wapendwa, Bidhaa hii imekua adimu kwa baadhi ya maeneo.Ninahitaji cret 50 za soda kila baada ya siku moja ama mbili.Nipo Pugu kajiungeni.Bei yangu ya kununua kila creti ni Tsh 9300/=Tuwasiliane...
1 Reactions
0 Replies
1K Views
wadau naulizia hivi hii machine ya kutengeneza ice cream soft sever inauzwa bei gani dukani
2 Reactions
1 Replies
4K Views
Nyumba inapangishwa ipo Kijitonyama karibu na mabatini Police Station. inavyumba 3 kimoja master b/room kubwa ya ukweli. Kodi ni 600,000 kwa mwezi. Kwa mawasiliano piga 0759888018
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Nipigie kama una kontena la 20feet, ofa 1,500,000 bei inaweza kuongezeka kulingana na ubora wa kontena lenyewe
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Wana Bodi Nauza line za MPESA na Tigo Pesa. Mwenye kuhitaji ani PM Asante.
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Vunja bei ushindwe mwenyewe kuipenda nyumba yako Pia nafanya decoration majumbani Niite nitakuja kukupendezeshea nyumba yako Tunapazia nzuri na za kisasa kwa bei sawa na bure Tupe vipimo vya...
0 Reactions
0 Replies
5K Views
iPhone 4 nauza.ni orijino kabisa,0714890195. Na watsaapp 0753377317. Bei 200000
0 Reactions
4 Replies
875 Views
Nahitaji copy original 50 mpaka 100 za katiba ya Tanzania ya mwaka 1977 lugha ya kiingereza, ni pm bei. Nipo Dar.
0 Reactions
0 Replies
414 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…