Gari aina ya Vitz inauzwa

Gari aina ya Vitz inauzwa

Yimakatso

JF-Expert Member
Joined
Jul 11, 2015
Posts
7,782
Reaction score
11,277
Gari ni mpya kama inavyo onekana kwenye picha.Bei 9.8 milion.maongezi yapo.
1460543923861.jpg
1460543939248.jpg
1460543939248.jpg
1460543957581.jpg
1460543978045.jpg
1460543996979.jpg
1460543996979.jpg
 
Ist itakuwa bei gani sasa?

Duc In Altum.
 
Vits mill 9? Au kwakuwa sijawah kuingia shop zaidi ya kununua mswaki?
 
Vits mill 9? Au kwakuwa sijawah kuingia shop zaidi ya kununua mswaki?
kwa soko la sasa mkuu..uki import inakimbilia 8 na ushee..show room ndo wanajikaza na hizo 9 mil mkuu
juzi juzi hapa nilikua napiga survey izi show room za kinondoni....
 
kwa soko la sasa mkuu..uki import inakimbilia 8 na ushee..show room ndo wanajikaza na hizo 9 mil mkuu
juzi juzi hapa nilikua napiga survey izi show room za kinondoni....
Duh!! Basi ntakomaa na verspa yangu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom