Viwanja na nyumba Uporoto

Viwanja na nyumba Uporoto

Ngondonyoni

Senior Member
Joined
Feb 16, 2016
Posts
120
Reaction score
75
Ndugu, viwanja viwili vipo nyuma ya Uporoto hapo Dar vilivyoungana. Kila kiwanja kina nyumba ambayo ina room tatu, sebule na choo na jiko. Kila kiwanja kina mita ya miraba elfu nne na kina hati ya ardhi.
Kila kimoja kinauzwa milion 300 au best offer. Tafadhali piga 0763821010 kwa maelezo zaidi Au uliza hapa.
 
Uporoto hapa dar ni nyuma ya kituo cha mafuta cha Victoria kama unatokea mjini kuelekea Mwenge kushoto kwako. Unaingia njia ya FAO dakika mbili kwa miguu.
 
Kuna kaharufu kabaya kananijia !!!!!!!!!!!!!!
 
  • Samsung, Wameshatengeneza mitaro na maji haikai. Saizi uzunguni.
 
Kari uni. Si milimani ha ha. Lakini ni prime area na value yake itaongezeka wakati ujao. Ndiyo maana ni of a nzuri sana.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom