Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Mayai ya kuku wa kienyeji yanapatikana kwa wingi.Trei moja yenye mayai 30 tunauza shilingi za kitanzania elfu 15 tu.Agiza na uletewe popote ulipo ndani ya Dar es Salaam. 0788-407407
1 Reactions
17 Replies
6K Views
Kiwanja chenye nyumba hadi rinta vyumba 4 vya kulala 2 kati ya hivyo ni masterbedroom kinauzwa. Kipo maeneo ya nanenane morogoro km 2 toka barabara kuu ya Dar moro. Kina hati kamili sqr meter 840...
0 Reactions
1 Replies
981 Views
Nahitaji kuchimba kisima kirefu maeneo ya Uyole Mbeya. tafadhali wanaofanya kazi hiyo ya uchimbaji naomba mni-pm mnipe na gharama zote za uchimbaji.
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Habarini wana jamvi. Mimi mjasirilia mali ninayechipukia. Nimeamua kutengeneza mafuta ya nazi asilia mazuri kwa ngozi za watu wote. hayajathibitika kuwa na madhara mwilini. Yanapatikana kwa...
0 Reactions
0 Replies
4K Views
Je unataka kujenga kwa garama nafuu? Unajua kiwanda gani utapata bati kwa bei nafuu,katika ubora wa bati hilo hilo Je unajuaje gauge ya bati wakati unanunua? Bati aina zote rangi upendazo...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Viwanja vipo maeneo mazuri na sio mbali kutoka barabara ya lami bei zinazotoautiana kutegemea na ukubwa wa kiwanja Kwa mawasiliano 0719573444
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Habari wanaJF nahitaji mbao aina ya mtiki iliyokauka vizuri na nyingi ziwe za inch moja au mwenye kujua zinapatikana wap anijuze please.
0 Reactions
1 Replies
1K Views
ram 2gb hdd 160 dual core bluetooth wifi dvd rom betre 2hrs processor 2.40 web cam 3g 340000 0712191251
0 Reactions
0 Replies
442 Views
Kiwanja kiko maeneo ya airport ilemela mwanza. Ukubwa 25*30m bei 1.8ml 0753101293
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Closed
0 Reactions
0 Replies
731 Views
Ndugu Spanish tiles grade 1 45x45 cm ya floor zinapatikana Dar es Salaam ka Bei nafuu wholesale. Ukihizitaji tafadhali PM. Sihitaji dalali ila wateja.
0 Reactions
39 Replies
14K Views
natafuta gari ya kununua aina ya corrola spacio. isiwe mbovu, ya wizi au ina mgogoro wote, iwe na vibali halali vyote vinavyohitajika kisheria. Ni PM tufanye biashara
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Mashine ya picha canon ikiwa pamoja na chaji yake, power bank, camera nauza kwa 580000 nakupa na wino na photo paper, mashine hii unaweza kutolea passort size, picha za kawaida unachagua rangi...
0 Reactions
3 Replies
3K Views
Nauza Noah Field Tourer. Ipo katika hali nzuri sana. Specifications: 1. Make : Toyota 2. Model:Townace Noah Field Tourer 3. Eng Cap : 1998 cc 4. Odometer : 190,000 5. Year of Manuf : 1998 6...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Ps 2 inauzwa kwa laki na 30 tu, ina kila kitu.pad 2, flash gb 8 yenye games za gta..need for speed na pes new version, Memory card na adpta..kama unahtaj nchek 0655278055 nipo kno
0 Reactions
1 Replies
931 Views
Wadau anayehitaji mbwa Mbegu nzuri wana miezi 4 nitafute
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Wakuu Ina vyumba 3 vya kulala, sitting room kubwa ya kuweka sofa seti mbili, dinning, jiko Na store, public toilets, nje Ina Caro kubwa la maji, miti mingi migomba Na michungwa na moembe ya kisasa...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Wakuu ninahitaji mkopo wa riba 25% kwa miezi 3 tu, nitarejesha yote bila kikwazo kwa sababu issue ninayotaka kufanyia iko researched na imepimwa haswaaaa..... mwenye utayari anipigie 0754459572...
0 Reactions
26 Replies
2K Views
Tofali za kupachika bola cement zile nyekundu Ni bei gani
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Model: 1990 Engine: 4d32 - Diesel Mileage: 100,000km Price: 35milion (Negotiable) Just imported All duties paid Price includes reg, plate # & ownership transfer
1 Reactions
11 Replies
5K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…