Basi zote ni scania F114 moja ni single hp 330 gear 8 seats 2 by 2 na nyingine ni terials hp 360 gear 8 seats 2by2, zote ziko katika hali nzuri zinatembea..
Mawasiliano;
CALL: +255 765 032 151...
House for sale dar es salaam 0712656606
Eneo: Kigamboni kibada block 15
Bei: Milioni 150 ikikamilika milioni 120 kama ilivyo.
Ina hatimiliki na kiwanja kimepimwa
Size : square meter 708
Ni...
Habari kwa wadau wa pikipiki za kichina,
Napenda kuwafahamisha tuna stock mpya ya pikipiki aina ya REMEX FIGHTER , Imetengenezwa kisasa zaidi, ina engine cc 150 ni imara, ina spidi, ina nguvu na...
SAMSUNG Galaxy A8 DUOS
Black color
Double line
Fingerprint scanner
5.7 ins 1080p screen
32GB storage with MicroSD slot
2GB RAM
16mpx main camera
Price: TShs, 600,000
in EXCELLENT...
Nyumba ina vyumba vtatu vya kulala ft12×10 (1master&2single)sitting room, public toilet, Nyumba ina kisima cha maj saf na hayana chumv, umeme unawaka, eneo n mita 16×15 nyumba ipo mtaan gar...
Hivi ni mim tu ndio mwenye bahati mbaya ya kusumbuliwa na kudanganywa na mafundi? Yani hafiki kwa wakati mliokubaliana na wengine wanakua wababaishaji.
Basi baada ya kuchoshwa na hizi porojo huku...
Ni watengenezaji na wauzaji wa bidhaa mbali mbali za ngozi kama vile viatu, mikoba, mabegi, wallet, mikanda, kofia na hata kacha tunapatikana Dodoma na bidhaa zetu tuna tuma Tanzania nzima na kwa...
Wana JF
Naomba mwenye ufahamu wa ndani kuhusu kuendesha biashara ya kusagisha na kuuza unga wa Sembe:inalipaje?aina gani ya machine inafaa zaidi,na ujanja wa biashara hiyo!mahindi yapi yanatoa...
Wakuu Habarini Za Mihangaiko!
Naomba Mwenye li Smartphone la ukweli la kuuzia sura hata kama litazimwa mwezi wa 6 Aniuzie Kabla TCRA Hawajafanya yao, nami niigusi japo siku mbili tatu kabla...
natafuta mtu wa kufanya nae biashara ya T shirt za shule ni kuanzia T shirt 200+ kampuni au mtu binafsi kuna tenda ya shule nimeomba za nembo za zisizo na nembo. wasiliana nami kwa pm
If you own a clearing and forwarding company with all relevant documents and you're interested on selling please check me in my inbox so we can have a chat on the same.
Make sure your company...
Sasa mvute mpenzi aliyembali, kumtuliza mume asitoke nje ya ndoa na kuvuta nyota ya mapenzi.
Au una matatizo katika biashara zako? Sasa muone Ustadhi Ali atakusaidia.
Ofisi zangu zipo mkoa wa...
Naomba kama unaifahamu shule nzuri yenye kiwango kizuri cha ufundishaji na utulivu wa mazingira maeneo ya kuanzia BUNJU mpaka BAGAMOYO naomba nifahamishe. Nina watoto wa miaka ya kwenda shule hizi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.