Nahitaji Mashine ya Maxmalipo

Nahitaji Mashine ya Maxmalipo

Joined
Jun 6, 2016
Posts
5
Reaction score
1
Mambo vipi wadau

Naomba msaada wenu kwa yeyote anayefahamu jinsi ya upatikanaji wa mashine ya maxmalipo anisaidie.

Au kama kuna mtu anaiuza anitafute kwa namba 0712353346
 
acha kupenda vitu vya mkato nenda millenium tower wanaziuza kwa laki sita tu unapata mpya
Mambo vipi wadau
Naomba msaada wenu kwa yeyote anayefahamu jinsi ya upatikanaji wa mashine ya maxmalipo anisaidie. Au kama kuna mtu anaiuza anitafute kwa namba 0712353346[/QUOTE
 
mimi ninayo selcome mashine ya kisasa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom