Used Japanese combine harvester, power tiller, tractor, rice planters

Used Japanese combine harvester, power tiller, tractor, rice planters

ras nagashima

Member
Joined
Nov 29, 2014
Posts
68
Reaction score
10
ImageUploadedByJamiiForums1425189244.811655.jpgImageUploadedByJamiiForums1425189259.841329.jpgImageUploadedByJamiiForums1425189271.511943.jpgImageUploadedByJamiiForums1425189285.680915.jpgImageUploadedByJamiiForums1425189296.745576.jpg
 
ras unafanya lazi nzuri sana huko nimevutiwa hasa na zana za kilimo hongera sana
 
Asante Ras, naomba bei zake na majina ya hizo mashine za kilimo. Je ili zitumike kwetu shamba linatakiwa liandaliweje?
 
Mkuu mkungo hapo kwenye maandalizi siyo professional hapo inabidi umuone Bwana kilimo, majina zipo kubota, Iseki,Yamaha nk
 
Mkuu mkungo hapo kwenye maandalizi siyo professional hapo inabidi umuone Bwana kilimo, majina zipo kubota, Iseki,Yamaha nk

Mie nimevutiwa na power tiller, sijajua inatembea kwa kiasi gani.

Pia sio vibaya kama ukiainisha bei ya kila mashine ndugu.
Mimi nataka niingie kilimo biashara huku Kyela aisee (kilimo cha mpunga).
 
Mkuu Dzudzuk lini umepanga kuingia unahitaji machine zipi za kuanzia power tiller zipo kubwa na ndogo bei from 2.5-3.5M Tzs
 
Mkuu Dzudzuk lini umepanga kuingia unahitaji machine zipi za kuanzia power tiller zipo kubwa na ndogo bei from 2.5-3.5M Tzs

Nahitaji niingie rasmi mwaka huu, mwezi wa tisa.
Ninahitaji power tiller iliyo kamilika, yaani iwe na jembe, tela. Hiyo harvester cjajua ufanisi wake kwenye kilimo cha mpunga.

Pia ndugu, nahitaji ushauri juu ya uimara na services ambazo nitahitaji kuzifanya kwaajili ya poer tiller kwenye kilimo cha mpunga.
 
Mkuu Dzudzuk lini umepanga kuingia unahitaji machine zipi za kuanzia power tiller zipo kubwa na ndogo bei from 2.5-3.5M Tzs

Mkuu hizo power tiller zipo tandika?.na km nakupa oda ya power tiller mpya huwa inakuwa ni bei gani
 
Mkuu naomba kujua hizo Harvester ni za mpunga tu au pia zipo za mahindi. Kiu yangu ni kupata ya kuvunia mahindi pamoja na kupukuchua mahindi. Je ipo? Ni bei gani? Kulipia ni aje? Zipo Tz au natumbukiza hela yangu nikijiweka rehani kwako mpaka ukijisikia ulete? Nipo siriasi naihitaji kabla ya mwezi july, 2015.
 
Mkuu matangara zipo ambazo ni malfunction mpunga na mahindi zinavuna, tuwasiliane thru what's app + 81 80 5028-3093 Malipo utapafanya officin hapo tz 70% down payment mkuu
 
Mkuu naomba kujua hizo Harvester ni za mpunga tu au pia zipo za mahindi. Kiu yangu ni kupata ya kuvunia mahindi pamoja na kupukuchua mahindi. Je ipo? Ni bei gani? Kulipia ni aje? Zipo Tz au natumbukiza hela yangu nikijiweka rehani kwako mpaka ukijisikia ulete? Nipo siriasi naihitaji kabla ya mwezi july, 2015.
Mkuu hii ni picha ya mfano tu !! Kubota SR75s harvesting corn n white/rice
ImageUploadedByJamiiForums1425299455.933630.jpgImageUploadedByJamiiForums1425299466.918491.jpgImageUploadedByJamiiForums1425299479.621402.jpgImageUploadedByJamiiForums1425299489.302257.jpg.
 
Mkuu ras, naomba kujua bei pia njia ya kulipia na mahali zilipo. Miye ninazihitaji zifike Handeni je yawezekana? Samahan ni maswali mengi ila nikijibiwa yote yatautuliza moyo wangu

Machine Kama hizi naleta kwa order tu mkuu, price 25m to 30m, kulipia utalipia tu hapo tz officin mkuu, ndiyo zinawekana kufika mpaka horohoro Tanga mkuu
 
Machine Kama hizi naleta kwa order tu mkuu, price 25m to 30m, kulipia utalipia tu hapo tz officin mkuu, ndiyo zinawekana kufika mpaka horohoro Tanga mkuu

Naomba mwongozo wako nifike ofisini wapi na saa ngapi na nitakutana na nani
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom