Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Shamba lipo sehem moja inaitwa mtamba kwa mzungu mkoa wa pwan lina documents tambulish,gari linafika had Shamba Contact 0656 698232
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Wadau kuna Nyumba inauzwa iko KIBAHA kwa mfipa,ina vyumba 4,choo na jiko ndani.Eneo liko square na lina ukubwa wa Mita 20*40.Bei ni 65M. Hakuna dalali, wasiliana na mmiliki mwenyewe kwa namba...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Kiwanja kinauzwa kipo Mkuranga maeneo ya dundani karibu na shule ya msingi mita 40 kutoka barabara ya Kilwa road . Kina upana wa mita 30 na urefu mita 40 kina miembe 3 minazi 5 na migomba 5...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Viwanja Kwa ajil ya ujenz wa makaz na shughul nyngne vinapatkana Kwa ukubwa wa 20/20 Contact 0656 698232
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Kama una plot kuanzia nusu eka vikiandu hadi dundani karibu na barabara na umeme na pia gari kubwa ziwe zinafika kwenye kiwanja. Kama unacho weka ukubwa na bei
0 Reactions
4 Replies
999 Views
Simu ni Mpya kabsa haijatumika bei sawa na bure ya tsh 320000 niko Dar call me 0716453777 unapewa na accessories zake
0 Reactions
0 Replies
695 Views
Nyumba ina vyumba vtatu (1master&2single ),sitting room, public toilet,umeme unawaka, kisima cha maj na hayana chumv,nyumba ipo Barbara ya mtaa
0 Reactions
0 Replies
682 Views
Nataka kufanya hiki kilimo but nimepata changamoto ya kuipata eneo. Mi naish DSM nlienda kule Kimbiji Kijaka.. But nlishauriwa hakuna rutuba na kilimo ni challenge kidogo. Nikashauriwa niende...
0 Reactions
11 Replies
5K Views
  • Closed
Hellow wapendwa, kama una mtaji wako mzuri wa kuanzia biashara za azam zote nikimaanisha maji,(buguruni),soda carbonated soft drinks(mwandege),juices (vingunguti),na vinginevyo,ushauri na kila...
0 Reactions
27 Replies
15K Views
Pata mashine za kutoleshea vifaranga kutoka Imberuzi investment. Ni machine bora na za kisasa zilizotengezwa hapa nchini zimeundwa kwa mfumo wa automatic zinageuza mayai zenyewe pia zipo za ukubwa...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
kujenga nyumba sio sawa namekununua gari, unaweza kununua gari ukaliuza Siku inayofata lakini sio nyumba. " NYUMBA NI SEHEMU MUHIMU KATIKA FAMILIA" Ukitaka kujenga tutafute tukupe ushairi wa nini...
1 Reactions
1 Replies
3K Views
Wana bidii nahitaji cm nzuri used ambayo haitarajii kuzimika mwezi ujao niko mbeya mjini kwa Sugu mawasiliano 0758844240 au ni pm fasta tufanye bizinesi
1 Reactions
0 Replies
1K Views
<br />Inakupa furusa ya kumaliza matatizo uliyonayo wakati wa kupaua kwa nzia gharama,aina ya bati,rangi na ushauri wa mafundi zaidi ya watano tofauti wa ubora ule ule<br /><br />Hakuna tena...
0 Reactions
0 Replies
4K Views
Inakupa furusa ya kumaliza matatizo uliyonayo wakati wa kupaua kwa nzia gharama,aina ya bati,rangi na ushauri wa mafundi zaidi ya watano tofauti wa ubora ule ule Hakuna tena gharama baada ya...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Habari wanajamvi!! Nina rotweiler jike nlikuwa natafta mtu mwenye rotweiler dume ile niweze kumpandisha huyu wa kwangu!! Nimempa chanjo zote!!
1 Reactions
5 Replies
892 Views
Wakuu nina hosted accounts nyingi sana naziuza kwa elfu kumi tu kwa kila accounts. Pia natoa ushauri na mbinu mbali mbali za kufanya upate dollari za kutosha nicheki 0765321403 au 0675968762 for...
1 Reactions
1 Replies
1K Views
Giving out 5pcs only. Watu wa5 wa kwanza kutuma PM Watajipatia 1TB External HDD kwa Bei ya Happy wkend Na hutoweza kuipata sehem yoyote ile kwa hiyo bei. Changamkia. Sio ya Kukosa. Bei...
0 Reactions
0 Replies
547 Views
Natafuta mfugaji wa kuku anayeuza mayai ya kisasa kuanzia treyi 10, bei shillingi 6,000 kwa treyi. Muuzaji awe dodoma, kama unayo nicheki 0714112838. Thanks in advance
0 Reactions
9 Replies
4K Views
Habari zenu wakuu? Ninahitaji kukodi vitanda vya kulalia (godoro,mito,mashuka na mablanketi yake) ukubwa ni kuanzia futi 3X6,4X6,5X6 na 6X6. Pia hata kama una double deck unaweza kunijuza,vitanda...
0 Reactions
0 Replies
962 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…