Natafuta soko la maziwa lita 90 kwa Siku

lifeofmshaba

JF-Expert Member
Feb 19, 2011
867
219
Salamu wakuu
Kama kichwa cha habari hapo, natafuta soko la maziwa ya ng'ombe kuna lita 90 za maziwa kila Siku yanaweza patikana.
Kwa mwenye mahitaji au anayejua soko nitashukuru sana
Tuwasiliane email bunyinyiga2014@gmail.com

Asante sana
 
Tangazo lako halijakamikika,ni vema ungesema uko wapi,hivi kama uko mwanza na soko lipo Dar hio biashara itawezekana?better useme ulipo itakua raisi kueleweka.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom