GATEWAY DESKTOP COMPUTER INAUZWA…
SPECIFICATION ZAKE
v Hard Disk 1TB (GB 1000)
v Ram 6 GB
v Processor Core i3
v Mouse and keyboard ni wireless (bado ni mpya)
v Display Inch 21
v Inasupport...
Tafadhali kama unauza au unafahamu mtu anauza Toyota IST niambie.
1. Iwe bado nzuri ndani na nje
2. Bei isizidi 6,000,000 TShs
3. Kama ipo Dar ni safi zaidi
4. Zinatafutwa kwa wingi
5. Weka...
Habari wanajamii,
Nauza HITI Printer 420,
Maelezo mafupi:
-Machine inayotoa passport za haraka saizi zozote bila kuhitaji computer a
-Wino unakuja ana karatasi zake 50 unapata kwa...
Honda hii imesajiliwa na nyaraka zote zipo.
Bei ni mil 3.2, maelewano kiasi yapo kwa atakaye serious.Pikipiki ipo Mkuranga mjini.
Kwa mawasiliano zaidi, nitumie ujumbe kwa...
Habari zenu wakuu, nauza Toyota Starlet Carat, bei ni Tsh 6.5 maelewano yapo.
Gari ipo kwny hali nzuri, vibali vyote vipo.
Imetembea takribano 83,000km, nimeambatanisha na picha zke hapo chini...
Natafuta mayai ya kuku wa kisasa, yawe makubwa. Nahitaji tray 1,000/- kwa wiki.
Yawe makubwa na tray MOJA kwa TZS 7'000/-
Call me via 0717/ 0767 454455
Let us do business together
True Ink Associates would like to announce the CISA (Certified Information Systems Auditor) review class will start today on 09/05/2016 at DSM City Center Raha Tower Building .The course duration...
Certified Information Systems Audit (CISA) Mock Exam is scheduled to be conducted on 28/05/2016 at DSM City Center Raha Tower Building, Institute of Internal Auditors conference room, Fourth Floor...
Mtihani wa Mock test umepangwa kufanyika tarehe 28/05/2016 kuanzia saa nne asubuhi hadi saa nane mchana.
Mtihani huu unawaandaa wanaohitaji kufanya CISA Exam ya June na September.
malipo ni Tsh...
Ukubwa:square mita 600
Eneo:Tungi/ Kigamboni/Dar Es salaam oposite na Shule Ya FRAY LUIS AMIGO kina leseni ya makazi
Bei:tsh 120,000,000 (Tshilingi Mil 120)
Mob: 0718295182 unaweza ncheki watsap...
Shamba lipo linaukubwa wa kutosha maji kibao kama unataka plz ni pm tuelewane bei ni ndogo karibu na bure. waweza lima mazao ya mbogamboga, mazao ya biashara na nk.
Nawasilisha
Viwanja viwili vinauzwa vya ukubwa wa 32 * 26. Havijapimwa. Viko makabe karibu na kituo cha polisi. Ukiwa bararani hapo kituo cha polisi unaviona.Kila kimoja ni tsh 40 ml.
Nyumba na inauzwa...
Amani iwe kwenu wadau
Nauza viwanja vipo mbezi msakuzi maarufu kama Pilikapilika/machimbo ni pembeni mwa barabara ya kwenda Makabe ukiingilia barabara ya Mbezi high school. Viwanja vipo vinne...
Nyumba INA vyumba 3 kimoja self, jiko,nk
Nyumba bado mpya. Bei yake 150ml. Maongezi yapo, kwa mawasiliano zaidi au kutaka kuiona wasiliana nami kwa 0756060183
Ndugu wana JF nataka kuanzisha kilimo cha umwagiliaji hasa mahindi na mbogamboga naomba kujua gharama za vifaa hasa mabomba ya kutandaza shamba lenye ukubwa wa ekari moja. natanguliza shukurani
JMK ROYAL SERVICES
Agent of Building Materials tunakuletea tiles za TwyFord(better tile,better life)
Tiles za kila aina zote(za ukutani,chini,jikoni,bafuni,na ukuta wa nje ya nyumba) upendazo kwa...