makaveli10
JF-Expert Member
- Mar 27, 2013
- 37,430
- 108,444
Kiwanja moja ya viwanja vilivyopimwa na serikali, sqm 804, kina hati, kipo barabarani, bei 70m
Maelewano yapo.
0659445718
Maelewano yapo.
0659445718
Block 22.Kipo block no ngapi
kina nyumba?
HakinaKina gorofa?
Vip mkuu!!?Duuuu
We ndio unavyojua km sqm 1=10,000 au sio.. Kaangalie tena, ukipata jibu njoo..Samahani mkuu ni 70M au 7M let assume square meter = 10,000 kwa square meters hzo = 8M hyo nimeassume kutokana na eneo la kibada
Mkuu usihangaike, hatufanani vipato, haimaanishi sasa hiv tanzania nzima mambo magumu, ila wale waliokuwa wanapiga pesa kijanja janja yawezekana ikawa ngumu. Wapo watu wanaendelea kuangusha majumba kila siku..Jamaa ajasoma alama za nyakati hela sasa hivi zipo za halal hakuna za longolongo
Usiwaze mkuu ndio maana ikaandikwa maelewano yapo..Bei yako kidogo ni kubwa. Subiri wenye pesa waje