Natafuta kiwanja Dodoma

Natafuta kiwanja Dodoma

Canto

Senior Member
Joined
Sep 27, 2014
Posts
117
Reaction score
57
Mwenye kiwanja Dodoma mjini kuanzia sq.m 1000, maeneo ya njedengwa au ilazo. Kiwe tambarare
Dalali sihitaji, makubaliano kati yangu na muuzaji mwenye kiwanja
 
Andika vizuri hicho kima cha pesa, ndo shilingi ngapi hiyo??
 
Kiwanja cha square metres 1000, bei maelewano.
 
Mwenye kiwanja Dodoma mjini kuanzia sq.m 1000, maeneo ya njedengwa au ilazo. Kiwe tambarare
Dalali sihitaji, makubaliano kati yangu na muuzaji mwenye kiwanja
Kipo ilazo ila ni sqr. 900 bei 25mil
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom