Quality Abayas kwa bei chee

Quality Abayas kwa bei chee

Nifah

JF-Expert Member
Joined
Feb 12, 2014
Posts
34,414
Reaction score
82,354
Je wewe ni mwanadada unayependa kujisitiri kisasa?
Kwako mwanaume...mwenye wake/mke na hata michepuko
Haya hapa mabaibui ya kisasa...
Ni mwendo wa kujisitiri kwa mwendo kasi.
Stara sio hadi Ramadan...
Onekana mrembo ndani ya Abayah hizi za kisasa...
uploadfromtaptalk1470161498750.jpg
uploadfromtaptalk1470161505916.jpg
uploadfromtaptalk1470161513507.jpg
uploadfromtaptalk1470161519303.jpg
uploadfromtaptalk1470161524348.jpg
uploadfromtaptalk1470161537040.jpg

Tunapatikana K/Koo mtaa wa Narung'ombe na Sikukuu.
Cheki nasi kupitia namba hizi 0719 714852
Bei zetu ni rahisi...everybody can afford
Only 30k (Elfu thelathini tu)!

Wapi FaizaFoxy geniveros mwasu atoto witness j Charity Diva Beyonce
Madame S farkhina

Kaka zangu Slim5 FisadiKuu mnyepe mrangi Mbulu hizi Abaya sio za kukoswa na mawifi zangu.
Karibuni sana
BTW....I wish babe aone hapa aninunulie hilo la pink jamaniiiii
Nimelipenda sana.
 
Kwahiyo wanaume wanavaa hayo madude kweli dar kumeharibika
1. Wapi kasema wanavaa wanaume
2. Kwanini unaita madude wakti mleta Uzi amtaja kuwa inaitwa Abayah
3. Nguo hizi zipo nchi nzima, kwanini waitaja Dar pekeyake.
 
1. Wapi kasema wanavaa wanaume
2. Kwanini unaita madude wakti mleta Uzi amtaja kuwa inaitwa Abayah
3. Nguo hizi zipo nchi nzima, kwanini waitaja Dar pekeyake.
K/koo mtaa wa narung'ombe upo nchi nzima.
 
Je wewe ni mwanadada unayependa kujisitiri kisasa?
Kwako mwanaume...mwenye wake/mke na hata michepuko
Haya hapa mabaibui ya kisasa...
Ni mwendo wa kujisitiri kwa mwendo kasi.
Stara sio hadi Ramadan...
Onekana mrembo ndani ya abaya hizi za kisasa...
View attachment 375035View attachment 375036View attachment 375037View attachment 375038View attachment 375039View attachment 375041
Tunapatikana K/Koo mtaa wa Narung'ombe na Sikukuu.
Cheki nasi kupitia namba hizi 0719 714852
Bei zetu ni rahisi...everybody can afford
Only 30k (Elfu thelathini tu)!

Wapi FaizaFoxy geniveros mwasu atoto witness j Charity Diva Beyonce
Madame S farkhina

Kaka zangu Slim5 FisadiKuu mnyepe mrangi Mbulu hizi Abaya sio za kukoswa na mawifi zangu.
Karibuni sana
BTW....I wish babe aone hapa aninunulie hilo la pink jamaniiiii
Nimelipenda sana.
Kwanini utaje na mchepuko, hujui ni dhambi hiyo
Alaa kulli haal....nguo ni nzuri....WiFi yako kazipenda sana. Nataraji apate inshaAllah
 
Hapo ukiyavaa hayo madubwana lazima kikwapa kiteme tu!

No wonder😀😀😀😀😀.
 
Asante sana binam yake mie Nifah...haya hayaaa ngoja niwaite hawa wadada kizur kula na mwenzio cc Valentina..madam b ebu niitie evelyn salt.. hornet njoo pande hiz shost!
mashemeji zangu wa zaman nimewamis cc excel.. kiwatengu..richpol..bila kumsahau mume kipenz kibo10
 
Kwanini utaje na mchepuko, hujui ni dhambi hiyo
Alaa kulli haal....nguo ni nzuri....WiFi yako kazipenda sana. Nataraji apate inshaAllah
Ni utani tu mkuu...usichukulie serious sana.

Asante...kheri InshaAllah.
 
🙂 teena. Maana isije kuwa fundi Juma mambo ya polyster na jua la Dar si tutaungua 🙂.

Hamna mambo ya fundi Juma hapa sweetheart.
Well...
Made in China-High Quality
Yapo ya aina mbili
1.Sukari
2.Spandex mix with cotton (mpira)
Karibu.
 
Back
Top Bottom