Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Nyumba ina vyumba 3 kimoja ni self, ukubwa wa uwanja 2000sqm na kimepima na kina hati yaani Title did ya miaka 99 bei yake 220ml Kwa maelezo na kuhitaji kuja kuiona wasiliana nami kwa 0756060183
1 Reactions
19 Replies
6K Views
Je wewe ubasumbuliwa na moja ya haya yafuatayo;- # Kisukari. # Shinikizo la damu. # Maumivu ya viongo. # Upungufu za nguvu zakiume. # Upungufu wa kinga mwilini. # Mtoto anasumbua Kula, anakua kwa...
0 Reactions
12 Replies
3K Views
Nauza mbegu za maboga kavu,1kg 6000/= Sms 0689095488
1 Reactions
1 Replies
971 Views
Kiwanja kinauzwa kipo kitunda machimbo ukubwa mita 38 kwa 36. Na kina room mbili mwenye kuhitaji piga namba 0713669533. Picha zipo. Wateja mnakaribishwa. Madallali pia.
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Jeep 2010 limited edition. Bei: Million 29 Imported to Tanzania in 2012 Mileage: 22,000km 240km speed Automatic na semi manual 4WD (Maelewano yapo)
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Niko unguja fuoni nimuda sasa natafuta chumba cha kukodi lakini sipati kwenye kuweza kunisaidia anisaidie
0 Reactions
0 Replies
1K Views
4WHL IWE VIZURI HAIJATUMIKA SANA
0 Reactions
14 Replies
1K Views
Je unahitaji mabox ya kufungashia cake? Tuna mabox yenye ukubwa mbalimbali kwa ajili ya kuhifadhia keki. Popote ulipo Tanzania tutakufikishia mzigo. 0754810853 na 0755092734
0 Reactions
2 Replies
3K Views
Habari za leo wakuu....nauza pumba ya mahindi ipo kibaigwa dodoma....jumla ipo gunia 300 za kilo 70 kila moja. Punba nauza kilo tsh 200 na tshs 14000 kwa gunia. Usafiri ntamuorganizia. Karibuni...
0 Reactions
12 Replies
3K Views
Naombeni mwenye kujua bei ya mashine ya max malipo anisaidie niijue, lakini pia nahitaji kujua Kama nikiinunua hiyo mashine itakuwa imeshaunganishwa na huduma mbalimbali Kama tigo pesa, Airtel...
0 Reactions
6 Replies
5K Views
Habari wana JF? Nipo Halmashauri ya Chalinze idara ya Elimu Sekondari natafuta Mwl wakubadilishana naye wa Temeke, Kigamboni au Mkuranga. Anitafute kwa 0786864257
0 Reactions
0 Replies
901 Views
nyumba inauzwa ipo Mwanza Ilemela Kiseke ppf Ina vyumba vitatu 3 Kiwanja kimepimwa Ukubwa wa kiwanja ni Square metre 960 Ml70 Tsh
0 Reactions
7 Replies
3K Views
Mwenye kuijua anisaidiee plz
0 Reactions
5 Replies
2K Views
HABARI, KUNA MDAU ANAUZA GARI YAKE KAITUMIA CHINI YA MWAKA MMOJA. MAELEZO YA GARI NI HAYA; "2003 IST Low mileage (65,300 KM) Comprehensive Insurance paid Good condition (1.3l engine) Price...
1 Reactions
7 Replies
2K Views
Chumba kinapangishwa kinondoni mkwajuni,umbali mfupi kutoka barabarani 0719538995
0 Reactions
0 Replies
933 Views
ukiwa na internent yenye speed nzuri! tunaweza kufanya yafuatayo kwa gharama nafuu! installation za printer na vitu vingine naweza kuinstall program ambayo utaitaji hata kama utaitaji account...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Hi, wakuu Nyumba Inauzwa ipo ukonga mombasa, bei sh mill 20, mazungumzo yapo. Inavyumba vitatu vya Kulala, kimoja master, jiko na sebule.
0 Reactions
18 Replies
2K Views
Kiwanja cha 50X25 kilichopo maeneo ya Burega kinauzwa. Kinapakana na ufukwe wa Lake Tanganyika. Kuna Servants Quarter yenye vyumba viwili na varanda. Kina hati. Bei TZS 15 M. Mawasiliano 0772977330
1 Reactions
6 Replies
3K Views
Habari,nahitaji kiwanja kigoma mjini mwenye nacho tuwasiliane humu,asanteni!
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…